Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
Wanajamvi,
Naomba msaada na maarifa.
Nimepata shule UK na scholarship tayari.
Shida, wanadai lazima nifaulu mtihani wa IELTS kwa level ya 6.7
Nilifanya TOEFL lakini sikufaulu kihivyo.
Msaada jamani, kuna ambaye amefanya na kufaulu?
What are the tricks?
Nimedata
Naomba msaada na maarifa.
Nimepata shule UK na scholarship tayari.
Shida, wanadai lazima nifaulu mtihani wa IELTS kwa level ya 6.7
Nilifanya TOEFL lakini sikufaulu kihivyo.
Msaada jamani, kuna ambaye amefanya na kufaulu?
What are the tricks?
Nimedata