Jinsi ya kufika Msumbiji (Maputo) kwa bus

Jinsi ya kufika Msumbiji (Maputo) kwa bus

Sasa sehemu mtu anasafiri kwa Bodaboda unamshauri vipi mtu kutumia njia hiyo wakati option ya kupitia Malawi ipo?

Nisome tena!!! Pana option mbili za usafiri hapo na nimeshaeleza mabasi yapo!!! Watu wanasafiri kila siku, pia wenye safari zisizo na ratiba za kungoja basi hutumia pikipiki kwa sababu ni njia nyepesi kuondoka muda wowote anaotaka.
 
Pemba sehemu gani?
Huyu ni rafiki yangu anaishi Pemba, tumeishi naye Bongo sikuwahi kujuwa kama kwao ni Cabo Delgado.

Sasa unachotaka kubisha wewe ni nini?
 

Attachments

  • Screenshot_2023-07-19-16-13-37-66.png
    Screenshot_2023-07-19-16-13-37-66.png
    158.1 KB · Views: 18
Mizigo si ingekua inapita huko maana kwenye border ndogo hazina usumbufu...
Si ndio hapo Sasa? Mimi kwa uzoefu wangu ukiona sehemu Bodaboda ndio tegemeo la usafiri ujuwe kuna shida hapo.

Hata Shirati Rorya kuna Border ya kuingilia Kenya kwenda Kisumu lakini hakuna usafiri wa basi lolote ni Bodaboda tu ndio zina kwenda Kisumu na barabara ni ya vumbi.

Tofauti na Sirari kuna lami na ndio gateway kubwa ya kuingilia au kutokea Kenya.
 
Si ndio hapo Sasa? Mimi kwa uzoefu wangu ukiona sehemu Bodaboda ndio tegemeo la usafiri ujuwe kuna shida hapo.

Hata Shirati Rorya kuna Border ya kuingilia Kenya kwenda Kisumu lakini hakuna usafiri wa basi lolote ni Bodaboda tu ndio zina kwenda Kisumu na barabara ni ya vumbi.

Tofauti na Sirari kuna lami na ndio gateway kubwa ya kuingilia au kutokea Kenya.
Ukiwa na code hizi huwezi kusumbuka wengi wakiona eti boda boda ndio wanakwambia hiyo border ipo shwari kumbe pana vitu vingi vimefunikwa hapo mpaka uwe na code zake...
 
Ukiwa na code hizi huwezi kusumbuka wengi wakiona eti boda boda ndio wanakwambia hiyo border ipo shwari kumbe pana vitu vingi vimefunikwa hapo mpaka uwe na code zake...
Hiyo njia ni kisanga we waache waendelee kudanganyana
 
Mizigo si ingekua inapita huko maana kwenye border ndogo hazina usumbufu...
Ngoja nikueleweshe vizuri, kutoka Dar mpaka lilongwe ni umbali mrefu sana, lakini kutoka Mtwara kupitia Songea mpaka Mbababey na kwenda Malawi ni kalibu,

Sasa inashindikana kutumia hii njia kutokana na miundo mbinu, wanajikuta wanatumia mzunguko mrefu wenye miundo mbinu mizuri ambao ni gharama

Sasa hivi gari zote za IT zinazotoka Dar kuja Mozambique Mikoa ya Niassa Nampula wanapitia Songea,Tatizo linalokuja bado barabara si rafiki hairuhusu kupita magari zaidi ya Tani 15, nakumbuka unapopita transit kwenye barabara ya inchi nyingine kuna gharama unalipia na kunakuwa na usumbufu mkubwa sana,

Nimesafiri na gari za IT kutoka Tanzania kuja Mozambique kupitia Malawi, yaani Songwe border Mpaka Chiponde border ya Malawi kwa Mozambique mandimba, yaani mnajikuta mmemaliza hera sababu ya kuhonga polisi njiani
 
Ngoja nikueleweshe vizuri, kutoka Dar mpaka lilongwe ni umbali mrefu sana, lakini kutoka Mtwara kupitia Songea mpaka Mbababey na kwenda Malawi ni kalibu,

Sasa inashindikana kutumia hii njia kutokana na miundo mbinu, wanajikuta wanatumia mzunguko mrefu wenye miundo mbinu mizuri ambao ni gharama

Sasa hivi gari zote za IT zinazotoka Dar kuja Mikoa ya Niassa Nampula wanapitia Songea,Tatizo linalokuja bado barabara si rafiki hairuhusu kupita magari zaidi ya Tani 15
Mkuu unanielewesha wakati mimepita karibu mipaka yote kuangalia unafuu wa kodi pana mpaka unaweza kunielekeza kwenye Nchi za SADC labda ujengwe leo...
 
na mwishooi mmekubalianaje ipi njia nzuri na salama wapendwaaa m Nov naelekea hukooo
 
Back
Top Bottom