farmersdesk
Senior Member
- May 26, 2012
- 164
- 125
JINSI YA KUFIKISHA VIFARANGA 1000 WA KUKU WA ASILI
Habari ndugu zangu wafugaji pole na majukumu ya kila siku katika harakatu za kutafuta mafanikio
Leo nimeona ni vema kushare na nyinyi jinsi mfugaji unavyoweza kufanikiwa kufikisha vifaranga 1000 ndani ya mwaka mmoja na nusu kwa kuanza na kuku wachache tu endapo utaamua kuwa tayari kufikisha lengo Hilo
Unatakiwa kuwa na mitetea 20 ya kienyeji ambayo imefikisha umli wa kutaga na jogoo wawili
Wape Bora chenye virutubisho vyote muhimu kwa kuku na kilicho na mchanganyiko sahihi
Waandalie viota kwaajiri ya kutagia visivyopungua 16
Kwa kuwa umeanza na kuku wenye umli wa kutaga muda sio mrefu wataanza kutaga mayai tafuta mayai yasiyo na mbegu au ambayo hayafai kutotoresha na uweke kila kiota mayai 3 kuku watakapokuwa wanataga kusanya mayai yako katika tray Safi na trei nzur ni zile za box na sio plastic weka sehemu isiyo na joto kubwa na unyevu kumbuka kila siku unapokusanya mayai Unatakiwa uyaandike tarehe ya kutagwa
Ikitokea kuku ameanza kuatamia muachie aatamie Yale mayai ambayo uliyaweka wewe yasiyo na mbegu au yasiyo faa kutotoresha Hadi pale kuku wakifika 12 wanaoatamia
Wawekee mayai Yale uliyokuwa unakusanya na kuyatoa mayai ambayo Yale yasiyofaa kutotoresha
Muda mzuri wa kuwawekea mayai kuku ni wakati wa giza(usiku) unapoweka mayai zigatia yafuatayo
1.mikono yako pakaa majicu
2.weka mayai Yale ambayo hayajazidi siku 14 toka yatagwe ( hiyo utajua mwa kuangulia tarehe ambapo yai limetagwa
Kwa kuwa kuku wanaoatamia ni 12 wawekee kila kuku mayai 12 kwa hao kuku 12 utakuwa I mewapa mayai 144 na kwa hayo mayai 144 Kuna uhakika wa kupata vifaranga zaidi ya 120 baada ya siku 21 hao kuku 12 wataangua vifaranga unachotakiw kukifanya ni kuwanyanganya vifaranga hivyo na kuvitunza wewe katika chumba maarumu ndani ya bruda wawekee chanzo Cha joto maji Safi yenye glucose na chakula maarumu Cha vifaranga(startt) watunze vifaranga hao kwa kuwalisha starter kwa muda wa miezi miwili ndipo uwabadiishie chakula
Zingatia chanjo kama ifuatavyo
✅siku ya 7 Newcastle vaccine
✅siku 14 Gumbolo vaccine
✅siku ya 21 Newcastle vaccine
✅siku ya 28 Gumbolo vaccine
✅ Week ya 5 wape fowlpox vaccine
Baada ya hapo wape dawa ya minyoo
Kumbuka Newcastle vaccine na dawa za minyoo utakuwa unawapa kila baada ya miezi 3
Kwa hapo tutakuwa na vifaranga Zaid ya 120 walio na chanjo Zote .uhimu hiyo tutaita batch ya Kwanza
Kumbuka kwakuwa kuku walinyanganywa vifaranga mapema baada ya kuanguliwa kabla hawajafikisha miezi miwili wale kuku watakuwa wametaga na kutotoa ila utafuata utaratibu was kukusanya mayai kama ilvyokuwa kwa batch ya Kwanza hivyo basi hi batch ya pili tutapata vifaranga zaidi ya 120 kwahiyo batch ya Kwanza na ya pili tutakuwa na vifaranga zaidi ya 240 baada ya miezi nane batch Zote mbili zitaanza kutaga tutapunguza kwa kuuza baadhi ya kuku na kuacha tete 100 na jogoo 10 Hawa tutawatunza watataga na kuatamia tutawaachia mayai kuku 90 waatamie kwa kumuwekea kila kuku mayai 12 kwa kwa idadi hiyo hapo utapata vifaranga nga zaidi ya 1000 itakuwa ni jukumu lako kutunza hao vifaranga Hadi wakuwe li ukija kuuza baada ya miezi sita utakuwa na zaidi ya tsh 10,000000 kama utawauza kwa Bei ya tsh 11000 au zaidi kwa kuku mmoja
👉Kutokana na ukuwaji / utagaji bora itakuongezea kipato.
Ungana na familia ya wafugaji kupitia
1.TELEGRAM tafuta neno "farmers desk" kisha jiunge
2.INSTAGRAM KAMA @farmersdesk_tanzania
Habari ndugu zangu wafugaji pole na majukumu ya kila siku katika harakatu za kutafuta mafanikio
Leo nimeona ni vema kushare na nyinyi jinsi mfugaji unavyoweza kufanikiwa kufikisha vifaranga 1000 ndani ya mwaka mmoja na nusu kwa kuanza na kuku wachache tu endapo utaamua kuwa tayari kufikisha lengo Hilo
Unatakiwa kuwa na mitetea 20 ya kienyeji ambayo imefikisha umli wa kutaga na jogoo wawili
Wape Bora chenye virutubisho vyote muhimu kwa kuku na kilicho na mchanganyiko sahihi
Waandalie viota kwaajiri ya kutagia visivyopungua 16
Kwa kuwa umeanza na kuku wenye umli wa kutaga muda sio mrefu wataanza kutaga mayai tafuta mayai yasiyo na mbegu au ambayo hayafai kutotoresha na uweke kila kiota mayai 3 kuku watakapokuwa wanataga kusanya mayai yako katika tray Safi na trei nzur ni zile za box na sio plastic weka sehemu isiyo na joto kubwa na unyevu kumbuka kila siku unapokusanya mayai Unatakiwa uyaandike tarehe ya kutagwa
Ikitokea kuku ameanza kuatamia muachie aatamie Yale mayai ambayo uliyaweka wewe yasiyo na mbegu au yasiyo faa kutotoresha Hadi pale kuku wakifika 12 wanaoatamia
Wawekee mayai Yale uliyokuwa unakusanya na kuyatoa mayai ambayo Yale yasiyofaa kutotoresha
Muda mzuri wa kuwawekea mayai kuku ni wakati wa giza(usiku) unapoweka mayai zigatia yafuatayo
1.mikono yako pakaa majicu
2.weka mayai Yale ambayo hayajazidi siku 14 toka yatagwe ( hiyo utajua mwa kuangulia tarehe ambapo yai limetagwa
Kwa kuwa kuku wanaoatamia ni 12 wawekee kila kuku mayai 12 kwa hao kuku 12 utakuwa I mewapa mayai 144 na kwa hayo mayai 144 Kuna uhakika wa kupata vifaranga zaidi ya 120 baada ya siku 21 hao kuku 12 wataangua vifaranga unachotakiw kukifanya ni kuwanyanganya vifaranga hivyo na kuvitunza wewe katika chumba maarumu ndani ya bruda wawekee chanzo Cha joto maji Safi yenye glucose na chakula maarumu Cha vifaranga(startt) watunze vifaranga hao kwa kuwalisha starter kwa muda wa miezi miwili ndipo uwabadiishie chakula
Zingatia chanjo kama ifuatavyo
✅siku ya 7 Newcastle vaccine
✅siku 14 Gumbolo vaccine
✅siku ya 21 Newcastle vaccine
✅siku ya 28 Gumbolo vaccine
✅ Week ya 5 wape fowlpox vaccine
Baada ya hapo wape dawa ya minyoo
Kumbuka Newcastle vaccine na dawa za minyoo utakuwa unawapa kila baada ya miezi 3
Kwa hapo tutakuwa na vifaranga Zaid ya 120 walio na chanjo Zote .uhimu hiyo tutaita batch ya Kwanza
Kumbuka kwakuwa kuku walinyanganywa vifaranga mapema baada ya kuanguliwa kabla hawajafikisha miezi miwili wale kuku watakuwa wametaga na kutotoa ila utafuata utaratibu was kukusanya mayai kama ilvyokuwa kwa batch ya Kwanza hivyo basi hi batch ya pili tutapata vifaranga zaidi ya 120 kwahiyo batch ya Kwanza na ya pili tutakuwa na vifaranga zaidi ya 240 baada ya miezi nane batch Zote mbili zitaanza kutaga tutapunguza kwa kuuza baadhi ya kuku na kuacha tete 100 na jogoo 10 Hawa tutawatunza watataga na kuatamia tutawaachia mayai kuku 90 waatamie kwa kumuwekea kila kuku mayai 12 kwa kwa idadi hiyo hapo utapata vifaranga nga zaidi ya 1000 itakuwa ni jukumu lako kutunza hao vifaranga Hadi wakuwe li ukija kuuza baada ya miezi sita utakuwa na zaidi ya tsh 10,000000 kama utawauza kwa Bei ya tsh 11000 au zaidi kwa kuku mmoja
👉Kutokana na ukuwaji / utagaji bora itakuongezea kipato.
Ungana na familia ya wafugaji kupitia
1.TELEGRAM tafuta neno "farmers desk" kisha jiunge
2.INSTAGRAM KAMA @farmersdesk_tanzania