Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
๐๐๐..wamekufa zaidi ya 40 mkuu toka kipindi hicho mkuu mpka may hii mwanzoni.niliambiwa wanabanana so nimewagawanyisha tena naendelea tena ..lakini mie naamini ile mvua ilihusika๐ (ramli chonganishi ) ila walobaki wamekuwa watu wazima kbsPole my d
Pole sana,,sisi Wengine ndiomaana tunaogopaga kufuga kuku,, me nna vikuku 35 vya kienyeji kwajili ya kuwala tu mwenyewe,, huwa wakiumwa nawapaga dawa za binadamu, ususani ile inayoitwa PEN V, inawasaidiaga sana๐๐๐..wamekufa zaidi ya 40 mkuu toka kipindi hicho mkuu mpka may hii mwanzoni.niliambiwa wanabanana so nimewagawanyisha tena naendelea tena ..lakini mie naamini ile mvua ilihusika๐ (ramli chonganishi ) ila walobaki wamekuwa watu wazima kbs
Naifahamu...mm nmefuga kama ww kwa almost 10 yrs nimechoka..nimebadilika..nataka waniletee hela nzuri aisee...!Pole sana,,sisi Wengine ndiomaana tunaogopaga kufuga kuku,, me nna vikuku 35 vya kienyeji kwajili ya kuwala tu mwenyewe,, huwa wakiumwa nawapaga dawa za binadamu, ususani ile inayoitwa PEN V, inawasaidiaga sana
Naifahamu...mm nmefuga kama ww kwa almost 10 yrs nimechoka..nimebadilika..nataka waniletee hela nzuri aisee...!
Kweli, ngojea namimi nijipange nijenge banda kubwa nifuge kibiashara ,ntakuja kuchukua ushauri kwako๐Naifahamu...mm nmefuga kama ww kwa almost 10 yrs nimechoka..nimebadilika..nataka waniletee hela nzuri aisee...!
Wana mafua hao fanya mpango uwape tiba mapema ukichelewa wataambukiza wengine.kingine nilichogundua wauza dawa za mifugo wengi sio waaminifu wengi uwa wanatoa chanjo feki.