Jinsi ya kufuga dagaa

Jinsi ya kufuga dagaa

Mods, nyuzi kama hizi msizipoteze tafadhali. Hazina comments nyingi lakini zina tija kubwa kuliko zile zinazojirudia rudia kwa kuwa tu waanzishaji ni wavivu kusoma zilizotangulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well said. Kuna mwalimu shuleni kwetu (Rungwe Sekondari) alishawahi kuwa na bwawa la dagaa). Kimsingi wanafugika.

Kinachokosekana hapa ni ujasiriamali ili ijulikane commerciability ya huu mradi. Mimi nina lengo la kuwafuga hawa dagaa (hawa wa Kyela tunaita USIPA). Nitakapopata info nitakuja kuziweka hapa.
Sawa kijana wa mbwanji
 
Kaburi limefukuliwa tayari.. Eti ufugaji wa dagaa! Huyu jamaa aliwaza nini?
 
Dagaa wanafugika kama jamaa alivyoonyesha kwenye video hapo youtube
 
Niliwahi ambai na mtalaamu kwamba Dagaa wanataka kina kirefu sana, sasa hilo bwawa lako hakikisha lina kina kirefu balaaa, kwenye kina kifupi huwezi wakuta kamwe,

Wale dagaa unao waona kama wa Ziwa Victoria si kwamba wana miezi miwili au mitatu hapana wengine wana miaka hata 6, yaani ndo walivyo hawakui zaidi ya pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa aina ipi? Kuna aina nyingi sana za Dagaaa, Dagaa wa Ziwa Tanganyika huwzi wakuta ziwa Victoria make mazingira yake ni ziwa Tanganyika, na Dagaa wa Ziwa Victoria hiwezi wakuta Tanganyika kamwe, na kadhalika,
Well said. Kuna mwalimu shuleni kwetu (Rungwe Sekondari) alishawahi kuwa na bwawa la dagaa). Kimsingi wanafugika.

Kinachokosekana hapa ni ujasiriamali ili ijulikane commerciability ya huu mradi. Mimi nina lengo la kuwafuga hawa dagaa (hawa wa Kyela tunaita USIPA). Nitakapopata info nitakuja kuziweka hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi ambai na mtalaamu kwamba Dagaa wanataka kina kirefu sana, sasa hilo bwawa lako hakikisha lina kina kirefu balaaa, kwenye kina kifupi huwezi wakuta kamwe,

Wale dagaa unao waona kama wa Ziwa Victoria si kwamba wana miezi miwili au mitatu hapana wengine wana miaka hata 6, yaani ndo walivyo hawakui zaidi ya pale

Sent using Jamii Forums mobile app
Ee bana eee. Eneo hili linahitaji utafiti hasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hao uliowaweka kwenye picha ndio dagaa unaowasemea?
 
Nitewaona watu wa TAFIRI hapa Kyela kisha nitaleta mrejesho hapa. Wao washafanya tafiti kahaa kuhusiana na hawa kitu. Tanzania Fisheries Research institute.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawafugiki kutokana kuwa wanazaliana kwa wingi na kwa haraka na wanahitaji eneo kubwa sana, maji yawe masafi yenye hewa ngingi ndio maana utawaona baharini au ziwani tena wanapendelea kukaa mbali siyo pembeni
 
Kwa Tanzania na duniani kote akuna anaefuga dagaa!! kuna aina zaidi ya 140 za dagaa duniani, Dagaa anapendelea kula mimea bahari, wakati sato anakula mpaka pumba.

Dagaa anachukuwa miezi 12 kufika urefu wa cm 6 mpaka 7. na pia ukae ukijua dagaa vile alivyo ndo amekamilika yaani ndo mkubwa na sio watoto wa samaki. na jinsi walivyo wengi kwenye maziwa na baharini wengi wanaona akuna sababu ya kuwafuga na upatikanaji wa mayai yake pia kutokana na size yao ni shida kiasi!

Nakushauri tafuta boti ya kuvua dagaa uingie ziwa tanganyika uanze kuvua upige pesa
Hili la kutafuta boti, ikiwezekana wizara husika ilete boti za kisasa za uvuvi wananchi wanunue kwa mikopo, kwa vicoba au hata kwa cash lakini ziwepo sokoni.
 
Back
Top Bottom