Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

umenikumbusha zamani tunachana karatasi na kumpima dole gumba halafu unaangali ukubwa wa shimo, lakini pia nasikia kuna ya kuangalia ukubwa wa mdomo.....the bigger the mouth........................
 
BIG TURN OFF kwangu.

Ni dalili ya mtu ambaye hayuko self conscious kwa sababu inasababishwa na ngozi kutanuka ghafla (kunenepa bila mpangilio n.k.)
 
daaaa..... hivi kumbe stretch mark zinaweza kuwa dili ee??

mi nnazo nauza.. njoo nimgawie demu wako.
 
ama kweli wanawake wanavitu tofauti vya kufuraisha wanaume kuna jamaa yangu alinambia kua ye hua anamnyonya sana mwenzake kwapa yaani kumbe ndio maana ndugu zangu wa kaskazini tunaambiwa hatujui malovee kwani tupo bize ankara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…