Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi


Duh kumbe adi linadawa. Basi ni tatizo
 
Kweli binadam tupo tofauti...hivo vitu nikiviona nyuma ya goti moyo wangu unakwenda mbio kama lowasa kaona fomu ya uraisi....haswa haswa vikiwa vidogo mi hoi

hahahahahahaha!ww mtu ni shidah!
 
Tyta

Huyu anaonekana kabisa amejichubuaku na ile michirizi ya asili haitokani na vipodozi
ila kila mtu na upendeleo wake mwingine hiyo michirizi anaona pambo kabisa na anaifurahia.

Katika familiayetu tunahiyo michirizi wa kiume na wakike wote.
 
Last edited by a moderator:

Muongo,za asili hazitibiki ng'o!labda aliejiaharibu na mikorogo.
 
Ukweli michirizi hii inatia hamasa. Binafsi naipenda ile ya asili siyo ile ambayo ni matokeo ya chemicals. Ngozi ikiwa smooth sana yaani uniform haipendezi kama ikiwepo michirizi ambayo si mingi kupitiliza.
 
toa evidence na mimi nitoe zangu

Evidence ya nn? wakati mm ndio ninavyo kwenye mwiliwangu?na nimeshadanganywa na kila aina za dawa.kumbuka mm za kwangu ni za asili co za mkorogo!
 
Topic ngumu.... Asilimia kubwa ya wanawake waliozaa wanayo, sasa sijui utakuwa unaacha kila mke akizaa
 

wengine wanazo adi kwa chuchu,,, inaniudhi mim bas tu.
 
mi naipenda sana, ila sio ya ubonge, alafu demu awe nayo nyuma ya goti na pia uikute pembezoni mwa kiuno, Inatia hamasa sana!
 
stretch mark means either of these two things....you were big and you got small(fat to thin) or you were small and you got big(thin to fat).....either way punani is punani....
 
mi napendaga michirizi hasa ikiwa ikiwa midogo midogo
 
Fanya hivi.....mpatie treatment kwa hiyo bidhaa yako, ikifanikiwa kumuondolea hiyo michirizi ndo anakulipa.
Tumalize ubishi

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…