Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana humu hamkwenda shule wote? Hamzijui varicose veins?
Ni kwa sababu miaka kumi iliyopita ilikuwa nadra kukutana na mtu aliyevaa nguo inayoonyesha maumbile yakeMiaka 10 iliyopita kukutana na mtu mwenye michirizi ilikuwa adim axaiv hali ni mbaya unadhani ni kwa nini?
Hio ni lugha ya huko geita au?Yanaitwa Masota. Yapo karibu sehemu tele za body
Hapo kumbe wanaume tunatofautiana. Mi hiyo michirizi huniongezea appetite!huwa nikiiona appetite inakata
Kuna wanaume tunapenda hii kitu. Huwa inaleta hisia ya ngono. Ila imetofautiana. Mizuri ni ilo ambayo ni ya kuibia ibia na siyo ile mikubwa na imetolezea sana.Naichukia balaaaaa
Huna shule wewe, kaa kimya!umechapia mkuu
KunogaWakuu polen na mishe.
Nina swali hapa wakuu.
Hivi Ile michirizi inayoonekana kwa baadhi ya kinadada nyuma ya goti wakiwa wamevaa sketi fupi huwa ni ishara ya utamu wao au nyege?
![]()
Apetaiza ilengoja nisome nijue ina maana gan
Ebu nione[emoji4]Kwani inakaaga nyuma ya goti Tu? Yangu haiko nyuma ya goti