Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo uzuri wa mwanamke huo......mwanamke ni pambo.....ila michirizi iwe from god sio hii ya cream.Hiyo michirizi ni mbwembwe tu za muumba na manjonjo yake tuzidi kuvutiwa na utofauti wao
nadhani unayo kwenye mikono kwa juu ka inaelkea kwapanKwani inakaaga nyuma ya goti Tu? Yangu haiko nyuma ya goti
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13]Ukitaka kuchora tattoo angalia kwanza na umbo lako lipoje kuna dada alikua mnene kajichora ua rose sasa hv kakonda linaonekana km tembele[emoji1]
Tembele tena[emoji15]Ukitaka kuchora tattoo angalia kwanza na umbo lako lipoje kuna dada alikua mnene kajichora ua rose sasa hv kakonda linaonekana km tembele[emoji1]
Ua rose na tembele (mboga majani ya viazi)Tembele tena[emoji15]
Mkuu, huyo mtu atakuwa anaichukia sana hiyo tattoo hata kama ataiona kwa mtu mwingine kwa jinsi ilivyombadilikia.
kwenye makalioipo wap
tofautisha makovu ya cream na michiriz natural iyo ya uko makwapani Ni effect za creamn nadhani unayo kwenye mikono kwa juu ka inaelkea kwapan
Sio kweli stretch marks hazikwepeki. Ukiongeza uzito ngozi nayo inatanuka kwahiyo inashindwa kutanuka ghafla ndo inachora mistari. Na mara zote hutokea miguuni, kny hips, makalioni, kifuani sababu ndo km kuna mafuta mafuta mengi. Na sio wanawake tu wenye michirizi ata wanaume pia wanayoUle ni ugonjwa wa ngozi, wengi sana wanao na wanachukulia ni hali ya kawaida, yale ni mafuta yanaikwatua ngozi.
Dawa yake Nunua sabuni ya kichina inaitwa Salfa, inafungwa kwenye karatasi la nailoni lenye rangi ya njanonjano
Matumizi:
Unaogea unalicha povu kwa muda, unajisuuza unajifuta na taulo, baada ya dk kama kumi unajipaka hiyo sabuni.
As na jioni siku 14 yote kwisha!!!
Nafikiri ni mistari ya contour kuonesha miinuko iliyoko kwenye tabia mwili ya mwili wa mhusika!Wakuu polen na mishe.
Nina swali hapa wakuu.
Hivi Ile michirizi inayoonekana kwa baadhi ya kinadada nyuma ya goti wakiwa wamevaa sketi fupi huwa ni ishara ya utamu wao au nyege?
![]()