Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

michirizi ni ya unene.. ngozi imetanuka mpaka ikaacha alama flani hivi. inapendeza sana kwa wadada.. japo kuna baadhi ya wanaume hawaipendi.
 
Michirizi maana yake huyo mtu amenenepa kwa kipindi kifup
 
Ni stretch marks, eidha alikuwa mwembamba alawa bonge/ mnene/ akaongezeka na kufanya ngozi kulaZimika kutanuka au alikuwa bonge/ mnene na akawa mwembamba husababisha hizo stretch marks.
 
Inaashilia huyo dada ananyege nyingi sana halaf huyo pia ni mtam sana akiwa kwenye mechi according to the biological factors
 
Wakuu polen na mishe.

Nina swali hapa wakuu.

Hivi Ile michirizi inayoonekana kwa baadhi ya kinadada nyuma ya goti wakiwa wamevaa sketi fupi huwa ni ishara ya utamu wao au nyege?

Stretch-lines-on-knees-and-behind-knees.jpg

Inaashiria ameachika
 
Habari zenu wapendwa wangu....
mwenzenu nasumbuliwa na michirizi mwilini na ninaona inazidi kutokea. hipi ni njia sahihi ya kuiondoa hii mivitu.
ushauri tafadhali.

Mwili mzima au baadhi ya maeneo? Sio genetic kweli? Kwani ina madhara yoyote kiafya?
 
Back
Top Bottom