usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Walaaaa hukooonitafute unione uje kuhadithia hapa !
Cv yang haniruhusu
Ngoja nimpigie pas
Saint ivunga aje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walaaaa hukooonitafute unione uje kuhadithia hapa !
Ha ha ha haaaaaaa. Umenichekesha eti kwenye churanilimuona jamaa anayo kwenye chura
Kwani huna mwanaume wa kukuoa hadi uwaze kuoa mwanaume badala ya kuolewa? wewe dada vipi?Unajua kipato changu? Naweza nikakuoa ujue na mtt wako nikamsomesha mpaka chuo alaa
chura alikuwa mkavu huyo ahaaaaa hadi akapasuka maskiniHa ha ha haaaaaaa. Umenichekesha eti kwenye chura
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]chura alikuwa mkavu huyo ahaaaaa hadi akapasuka maskini
Niliyenaye hajawai kuzungumzia ili swala. Mimi binafsi sipendiWacha kutoa hayo mautamu wewe, wewe wa wapi? Kama sababu ni huyo uliyenae ndio haitaki, basi mimi nakufungulia milango kwangu kwanzia muda huu
Najua my dear, na nikitumia sabun nyingine napata muwasho Ndio maana natumia Dettolunajua kazi ya detol?
unapata muwasho maana ngozi yako inakuwa kavu tumia bio oil na mafuta ya nazi na sabuni ya pears kuogeaNajua my dear, na nikitumia sabun nyingine napata muwasho Ndio maana natumia Dettol
Yeah wengi tu wanayoIvi mna habar kuwa hata wanaume wana iyo michirizi!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nmecheka Hatareeechura alikuwa mkavu huyo ahaaaaa hadi akapasuka maskini
Oky, ngoja nijaribu.unapata muwasho maana ngozi yako inakuwa kavu tumia bio oil na mafuta ya nazi na sabuni ya pears kuogea
Ivi mna habar kuwa hata wanaume wana iyo michirizi!!
Njoo pm.Unijulie wap ww
Wasiliana nami nina bidhaa za oriflame zinazomaliza tatizo la mistari ya mwilini.....Habari zenu wapendwa wangu....
mwenzenu nasumbuliwa na michirizi mwilini na ninaona inazidi kutokea. hipi ni njia sahihi ya kuiondoa hii mivitu.
ushauri tafadhali.
Bei gani hayo bio oil? Na yanauzwa pharmacy au maduka ya vipodozi tu?unapata muwasho maana ngozi yako inakuwa kavu tumia bio oil na mafuta ya nazi na sabuni ya pears kuogea
duka la vipodozi au pharmacy yananzia elf 15 hadi 45Bei gani hayo bio oil? Na yanauzwa pharmacy au maduka ya vipodozi tu?
Mbona Mimi sijui kazi yake natumia tu as soap......kwan kazi yake ni nini?unajua kazi ya detol?