Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,333
- 7,879
Kwani hiyo michirizi ipo sehemu gani ya mwili kiasi cha kukukosesha amani hadi unasema uyapendi?Niliyenaye hajawai kuzungumzia ili swala. Mimi binafsi sipendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hiyo michirizi ipo sehemu gani ya mwili kiasi cha kukukosesha amani hadi unasema uyapendi?Niliyenaye hajawai kuzungumzia ili swala. Mimi binafsi sipendi
Unaipenda?Ungekuwa mpenzi wangu ningekwambia usiitoe
Inapatikana wapi hiyo parachuteHii kiboko, nilikua nayo michirizi ya uzazi tumboni nikapaka parachute kimasihara sihara tu imeondoa sa hivi inaonekana kwa mbaliii....ila kama ni michirizi ya kujichubua sidhani
Yani nikiiona mi hoiUnaipenda?
Unajua kama nimekumiss lakini?Hahahaaaa!! Alafu ujue nakusaka!!
Michirizi ya sehemu gani?Habari zenu wapendwa wangu....
mwenzenu nasumbuliwa na michirizi mwilini na ninaona inazidi kutokea. hipi ni njia sahihi ya kuiondoa hii mivitu.
ushauri tafadhali.
Ungenimiss si ungekuwa hapa ubavuni right now!Unajua kama nimekumiss lakini?
Duh inatisha bhanaMbona hiyo ndio inaongeza utamu mkuu,usiitoe.
Maduka ya cosmetics....ndogo elfu 4 kubwa elfu 8Inapatikana wapi hiyo parachute
Tumia bio oil kwa miezi 3.Habari zenu wapendwa wangu....
mwenzenu nasumbuliwa na michirizi mwilini na ninaona inazidi kutokea. hipi ni njia sahihi ya kuiondoa hii mivitu.
ushauri tafadhali.
OkyTumia bio oil kwa miezi 3.
Mumie kuna bidhaa pia za kampuni ya Oriflame, ambazo zimetengenezwa kwa kutumia malighafi asilia.. Huindoa kabisa michirizi bila kuharibu ng'ozi yako.. KaribuHabari zenu wapendwa wangu....
mwenzenu nasumbuliwa na michirizi mwilini na ninaona inazidi kutokea. hipi ni njia sahihi ya kuiondoa hii mivitu.
ushauri tafadhali.
Mamy tumia mafuta ya nazi yanasaidia Sana tena ukiweza kutengeneza mwenyewe utaleta mrejesho hapa.Habari zenu wapendwa wangu....
mwenzenu nasumbuliwa na michirizi mwilini na ninaona inazidi kutokea. hipi ni njia sahihi ya kuiondoa hii mivitu.
ushauri tafadhali.
Mwingine anapata michirizi baada ya kuzaa, ila zamani mtu anazaa watoto 7 ila humkuti hata na kimstari kimoja.michirizi inasababishwa na mavipodozi yenye machemical mabaya paka zako nazi uone kama utapata mchirizi
kwa sababu ya reaction ya machemical kwenye ngoziMwingine anapata michirizi baada ya kuzaa, ila zamani mtu anazaa watoto 7 ila humkuti hata na kimstari kimoja.
Wapo wanaopaka baby care na wana michirizi.