Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

Jamani hizo Bio Oil mbona huku kwetu hazipo??? Nasikia kuwa ni nzuri kwa ngozi mbali na kuondoa stretch marks....

Da mimi49 na Smile wanauzaje huko Bongo ili niagizie??
 
Last edited by a moderator:
Jamani hizo Bio Oil mbona huku kwetu hazipo??? Nasikia kuwa ni nzuri kwa ngozi mbali na kuondoa stretch marks....

Da mimi49 na Smile wanauzaje huko Bongo ili niagizie??

Samahani: cz sio muhusika wa kupaswa kukujibu ila si vibaya kama nikakusaidia kukuelekeza yanapopatikana

BIO OIL zipo tena nyingi tu

Kama upo hapa hapa Bongo we nenda MaryRose Cosmetics,,Nakiete

Ama Maduka yoyote ya Pharmacy ama Cosmetics na utayapata

Bei: Chupa ya saizi ya kati inauzwa 25,000 TSH/ =

Kazi kwako!!
 
Last edited by a moderator:
Jamani hizo Bio Oil mbona huku kwetu hazipo??? Nasikia kuwa ni nzuri kwa ngozi mbali na kuondoa stretch marks....

Da mimi49 na Smile wanauzaje huko Bongo ili niagizie??
kwani upo wapi maana mimi nipo simiyu na ninazipata kwa 30 dar kuna hadi 15...si unajua tena mambo ya vitu feki mwenge..ila maduka ya ukweli ni 25 to 30
 
Samahani: cz sio muhusika wa kupaswa kukujibu ila si vibaya kama nikakusaidia kukuelekeza yanapopatikana

BIO OIL zipo tena nyingi tu

Kama upo hapa hapa Bongo we nenda MaryRose Cosmetics,,Nakiete

Ama Maduka yoyote ya Pharmacy ama Cosmetics na utayapata

Bei: Chupa ya saizi ya kati inauzwa 25,000 TSH/ =

Kazi kwako!!

Usijali bidada.... Asante kwa kujibu!

Mie niko huku Tandahimba ndo maana nimewaomba Da' mimi49 na Smile waniagizie!
 
Last edited by a moderator:
Samahani: cz sio muhusika wa kupaswa kukujibu ila si vibaya kama nikakusaidia kukuelekeza yanapopatikana

BIO OIL zipo tena nyingi tu

Kama upo hapa hapa Bongo we nenda MaryRose Cosmetics,,Nakiete

Ama Maduka yoyote ya Pharmacy ama Cosmetics na utayapata

Bei: Chupa ya saizi ya kati inauzwa 25,000 TSH/ =

Kazi kwako!!

Usijali bidada.... Asante kwa kujibu!

Mie niko huku Tandahimba ndo maana nimewaomba Da' mimi49 na Smile waniagizie!
 
Last edited by a moderator:
Kuna michirizi kama mistari fulani kwa wanawake,nyuma ya miguu huonekana na hata mikononi na hata mpaka mapajani,kwa mtazamazo wangu hii michirizi inatia dosari muonekano wa wanawake,kwani haiwezi kudhibitiwa maana hata nionapo huwa hainifurahishi kabisa.
 
Unataka kufurahishwa na muonekano wa wanawake!mwanamke ni pambo la nyumba sio la dunia!
 
Back
Top Bottom