Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa taarifa tu na mkoba utakuwa unabeba mkienda kwenye matembezi na huko kataamua uongee na nani na uongee vipiKUMSAIDIA KUVAA AENDE KAZN? YAN UNAGEUKA MKE? LOH, HAIWEZEKAN
Kwa kweli ni tatizo kubwa sana kwenye jamii kwa sasa. Na tatizo linazidi kuongezeka kadri muda unavyoenda.Marahaba sana ila nimejikaza kusema haya. Wenye jinsia zao wakija watanipopoa mpaka nikome.
Sasa ndugu pambana na hali yako unaleta ugumu wakati huna kituKUMSAIDIA KUVAA AENDE KAZN? YAN UNAGEUKA MKE? LOH, HAIWEZEKAN
Ukweli umewapa nimekuelewa had nackia rahaMarahaba sana ila nimejikaza kusema haya. Wenye jinsia zao wakija watanipopoa mpaka nikome.
AseeeHabari za muda huu wapendwa,
Bila ya shaka sisi sote kwa namna moja au nyingine ni wahanga wa hili jambo kwenye jamii au ndoa zetu lakini ni wachache sana walio we za kuvuka salama salimini kwenye mtihani huu mambo yafuatayo yanaweza kukusaidia angalau kuishi na amani na mke kipindi ambacho huna kazi au amekuzidi kipato.
1) JIAMINI
Mwanaume asiyejiamini ni udhaifu mkubwa sana mbele ya mwanamke hii humfanya mwanamke asijihisi kuwa yupo salama mbele yako so kujiamini kwako kunamfanya awe na natumaini na wewe.
2) USIBADILI SANA RATIBA ZAKO
Kipindi ambacho huna kazi muda mwingi sana unakuwa idle hii hupelekea mwanamke kukuona kama wewe ni mtu ambaye umeshapoteza natumaini na umeshakata tamaa na maisha kwani huna jitihada tena za kuinuka tena hali hii humvunja moyo mwanamke na kumfanya ajihisi amebeba mzigo nzito sana hali ambayo huzaa msongo wa mawazo inayompelekea awe na hasira muda wote.
3) Mpe haki yake ya ndoa kwa utimilifu.
Umuhimu wa tendo hili unafahamika kwa wanandoa kwani huondoa stress na kufanya mwili kurelax hivyo basi hakikisha purukushani zako za kujikwamua kiuchumi wakati huu kwa kiasi kikubwa zisikuathiri utendaji wako wa chumbani.
4) Msaidie kuvaa asubuhi akitaka kwenda kazini.
Jambo hili humuondolea stress na kumfanya ajione yeye ni wa kipekee na ajione kuwa alifanya uchaguzi sahihi kuolewa na wewe (kumbuka wanawake wanafurahia mambo madogo ambayo kwa macho huwa yanaonekana hayana maana).
5) JIZUIE SANA KUTUMIA HELA YAKE KWA MAMBO YAKO BINAFSI
Nawasilisha
Marahaba sana ila nimejikaza kusema haya. Wenye jinsia zao wakija watanipopoa mpaka nikome.
Zote mbwembwe tu, kuish na mwanamke wa aina hiyo nikua BWEGE TU