Jinsi ya kuishi kwa amani na mwanamke aliyekuzidi kipato na kuifurahia ndoa

Daaaah! Kitanda usicho kilalia hujui kunguni wake.

Hiyo kama ni elimu basi ni theory.
Fanya practical sasa uone machipukizi ya tabia za kila aina zitakazo ibuka, hawa viumbe hakuna formula maalumu ya kuishi nao.
 
Ili uishi na mwanamke kwa amani jishushe na uwe na kaunafki flani hivi lasivyo utazunguka kutafuta malaika wako
 
Kama kuna upendo wa agape kati ya wanandoa hao,pesa ni extra saana,..
 
Marahaba sana ila nimejikaza kusema haya. Wenye jinsia zao wakija watanipopoa mpaka nikome.
Kwa kweli ni tatizo kubwa sana kwenye jamii kwa sasa. Na tatizo linazidi kuongezeka kadri muda unavyoenda.
 
Zote mbwembwe tu, kuish na mwanamke wa aina hiyo nikua BWEGE TU
 
Aseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…