Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.. sure ili kupunguza watu wenye changamoto ya Afya ya AKILIkuna haja ya Max kuweka interview wakati wa kujiunga jf
Kuweka QT roomkuna haja ya Max kuweka interview wakati wa kujiunga jf
Hizi ndio mod's wanapenda ukianzisha zile za kuwananga na kuwapiga vitofali Watu fulani kule juu wanafuta haraka sana tena wanaweza wakakulamba ban ya Miezi kadhaa kabisa Ila hizi ndio wanapenda sababu watu wanapumbazwa wanakua wajinga wajingaJF ya Melo mmmh!!! Kwanini umeacha kutumia ID yako ile nyingine? Hivi huwa ni raha kuanzisha anzisha nyuzi, kila mara eeh?
Hilo Dume fulani hivi msibabaike na ID names ni Wanaume wanaojipachika majina kujifedhehesha wenyewe Ila haiwabadirishi kitu wameumbwa na mti mbele watabaki na mkia mbeleUna bidii sana ya kusaka wa humu.. 😂😂😂
Ila hawaji.. Endelea tu kuchapa kazi shangazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una bidii sana ya kusaka wa humu.. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila hawaji.. Endelea tu kuchapa kazi shangazi
Hilo Dume fulani hivi msibabaike na ID names ni Wanaume wanaojipachika majina kujifedhehesha wenyewe Ila haiwabadirishi kitu wameumbwa na mti mbele watabaki na mkia mbele
boss si unajua tumemaliza chuo kwahiyo hatuna kaziJF ya Melo mmmh!!! Kwanini umeacha kutumia ID yako ile nyingine? Hivi huwa ni raha kuanzisha anzisha nyuzi, kila mara eeh?
Prostitute at workWakuu habari za kulala.
Leo nitatoa siri ambayo wengi imekuwa inawapa shida ya kuwapelekea kusumbuka kukwaruza vocha zao kabla ya kuzijaza tena wakiwa wamezilipia.
Mimi nitakuelezeni leo jinsi ya kuepuka usumbufu wote huo.
HATUA
1. Chukua simu yako
2. Mpigie mpenzi wako
3. Mwambie akutumie vocha
4. Tayari
Hapo utakuwa umejaza vocha bure bila kukwaruza wala kukwangua.
Alamsiki
Nimekuelewa MkuuUngenisoma vizuri husingekuwa na budi kuniandikia haya. Uwe waenda nje ya BOKSI, sio kila kitu kimo tu ndani ya BOKSI humu.
Dume hilo kua makini ana mapumbu huyoProstitute at work
Basi litakuwa tapeliDume hilo kua makini ana mapumbu huyo
😃😃kuna haja ya Max kuweka interview wakati wa kujiunga jf
😃😃JF ya Melo mmmh!!! Kwanini umeacha kutumia ID yako ile nyingine? Hivi huwa ni raha kuanzisha anzisha nyuzi, kila mara eeh?