Jinsi ya Kujaza vocha Bila Kukwangua

Jinsi ya Kujaza vocha Bila Kukwangua

JF ya Melo mmmh!!! Kwanini umeacha kutumia ID yako ile nyingine? Hivi huwa ni raha kuanzisha anzisha nyuzi, kila mara eeh?
Hizi ndio mod's wanapenda ukianzisha zile za kuwananga na kuwapiga vitofali Watu fulani kule juu wanafuta haraka sana tena wanaweza wakakulamba ban ya Miezi kadhaa kabisa Ila hizi ndio wanapenda sababu watu wanapumbazwa wanakua wajinga wajinga
 
Jf ianzishe kipengele cha kupima kilevi kabla ya kuapprove nyuzi kama hizi😁😁
 
Unataka wanaouza vocha wafe njaa? Kwangua tu, ni kazi kidogo, ila chumga unga wake usiingie kwenye mapafu.
 
Hilo Dume fulani hivi msibabaike na ID names ni Wanaume wanaojipachika majina kujifedhehesha wenyewe Ila haiwabadirishi kitu wameumbwa na mti mbele watabaki na mkia mbele

Ungenisoma vizuri husingekuwa na budi kuniandikia haya. Uwe waenda nje ya BOKSI, sio kila kitu kimo tu ndani ya BOKSI humu.
 
Wakuu habari za kulala.
Leo nitatoa siri ambayo wengi imekuwa inawapa shida ya kuwapelekea kusumbuka kukwaruza vocha zao kabla ya kuzijaza tena wakiwa wamezilipia.
Mimi nitakuelezeni leo jinsi ya kuepuka usumbufu wote huo.
HATUA
1. Chukua simu yako
2. Mpigie mpenzi wako
3. Mwambie akutumie vocha
4. Tayari

Hapo utakuwa umejaza vocha bure bila kukwaruza wala kukwangua.

Alamsiki
Prostitute at work
 
Back
Top Bottom