Jinsi ya kujitetea mbele ya mahakama ya RC

Jinsi ya kujitetea mbele ya mahakama ya RC

Avatar

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
11,128
Reaction score
11,921
Wazee wasio na walio H kunani , point ndio hizi hapa
IMG-20180409-WA0019.jpg
 
In case mkuu, huwezi jua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanaume wa Dar kama wanaogopa panya road....[emoji2] [emoji2] Sasa RC sindio watatoroka nchi yao kabisa....[emoji13] [emoji13]
Juzi tu, walijificha uvunguni baada ya kusemekana nyoka ameonekana mitaa ya sinza....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Wanaume wa Dar kama wanaogopa panya road....[emoji2] [emoji2] Sasa RC sindio watatoroka nchi yao kabisa....[emoji13] [emoji13]
Juzi tu, walijificha uvunguni baada ya kusemekana nyoka ameonekana mitaa ya sinza....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kama tandu wanahamaki, sembuse nyoka haha. [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Utafiti unaonyesha baada ya miezi miwili jiji LA dsm litakua jiji LA kwanza dunian kua na wanaume wachache..inasadikiwa kua jiji hlo litabakiwa na wanaume wawili tu tena wote wakitokea kanda ya ziwa[emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Siku ya 3 leo hawajatoka shauri ya mvua, na mkuu wao wa mkoa kawapa likizo ya siku 2.
 
hahahahahahahahaha lol! Weye Ushimen Mungu anakuona ujue ila nimecheka sana Mkuu.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom