Hata usihangaike kujieleza. Humu watu wanatumia fake IDs mbona mtu ang'ang'ane na ID yako kua ni lazima uwe mwanaume.natumia account ambayo aliifungua baba watoto
watu wanajisahaulishaHata usihangaike kujieleza. Humu watu wanatumia fake IDs mbona mtu ang'ang'ane na ID yako kua ni lazima uwe mwanaume.
Ukute mkewe kajiunga kupitiia cm yake...au mke kamshawishi...ahahahaaHuyu jamaa siyo kijana,nimeanza kumsoma hapa Jamiiforums 2010 ni kusema miaka 13 nyuma alishaijua hii platform.
Nadhani alijichanganya tu kuingia humo,na kila mtu ana hobby yake asikilizwe.
Axha upuuzi wewe mtu mzima ulijiungaje mange kimambi app?. Ndio maana watu walikuona zuzu wakawa wanakutania tu. Akili yako bado changa sasa nenda kaangakia zamaradi tvWakuu za asubuhi
Nimejaribu bila mafanikio kujitoa kwenye hii app. Nimewasiliana na wao sipati msaada. Hawana majibu. Benki niliyojisajilia wanasema solution ni.kubadili kadi ya benki. Hivi kweli hadi nibadili kadi?
Kila mwezi nakatwa tsh 2300/- automatically. Sijui nilifanyaje. Nikitaka kufuta akaunti yangu inashindikana. Maelezo niliyopewa kama nilijisajili kupitia app store basi niingie huko nikiona hiyo app ni unsubscribe. Wala sijaiona. Mange mwenyewe hajibu meseji zangu kupitia platform zake. Nia yangu niachane na hiyo app tu kwa sasa. Wazee wa tech tafadhali
Updates
Nimefanikiwa kujitoa kwenye usajili husika. Kwa namna ya pekee napenda kuwashukuru Nobunaga na Dr Restart kwa ushirikiano wao na kuonyesha kujali.
Nimejifunza:
1. Humu JF kuna watu wajinga sana. Nawaombea wasifike hatua ya kuwa wapumbavu
2. Wema bado wapo ila wachache
3. Wengi humu wanapenda mada nyepesi nyepesi wakitumia mgongo wa u great thinker
4. Wengi humu wana stress/msongo. akipata upenyo wa kutoa stress zao wanabwaga tu nyongo. Inajionyesha kwenye post zao
Mwisho, MODS naomba muufute huu uzi. Si lengo langu kuharibu biashara ya mtu bali wao wenyewe walishindwa kutoa mwongozo wenye kueleweka. Hivyo basi Active Boqin BlackBold na wengine tafadhali futeni huu uzi
Kama wewe ni mwanaume basi mama yako ana hasara na pia mkeo ana hasaraWakuu za asubuhi
Nimejaribu bila mafanikio kujitoa kwenye hii app. Nimewasiliana na wao sipati msaada. Hawana majibu. Benki niliyojisajilia wanasema solution ni.kubadili kadi ya benki. Hivi kweli hadi nibadili kadi?
Kila mwezi nakatwa tsh 2300/- automatically. Sijui nilifanyaje. Nikitaka kufuta akaunti yangu inashindikana. Maelezo niliyopewa kama nilijisajili kupitia app store basi niingie huko nikiona hiyo app ni unsubscribe. Wala sijaiona. Mange mwenyewe hajibu meseji zangu kupitia platform zake. Nia yangu niachane na hiyo app tu kwa sasa. Wazee wa tech tafadhali
Updates
Nimefanikiwa kujitoa kwenye usajili husika. Kwa namna ya pekee napenda kuwashukuru Nobunaga na Dr Restart kwa ushirikiano wao na kuonyesha kujali.
Nimejifunza:
1. Humu JF kuna watu wajinga sana. Nawaombea wasifike hatua ya kuwa wapumbavu
2. Wema bado wapo ila wachache
3. Wengi humu wanapenda mada nyepesi nyepesi wakitumia mgongo wa u great thinker
4. Wengi humu wana stress/msongo. akipata upenyo wa kutoa stress zao wanabwaga tu nyongo. Inajionyesha kwenye post zao
Mwisho, MODS naomba muufute huu uzi. Si lengo langu kuharibu biashara ya mtu bali wao wenyewe walishindwa kutoa mwongozo wenye kueleweka. Hivyo basi Active Boqin BlackBold na wengine tafadhali futeni huu uzi