Kweli elimu ya Tanzania imeporomoka, sidhani kama kuna haja ya kufanya utafiti inajionesha hata hapa Jamii forum. Mleta uzi ni mwalimu hembu tazama alichojikunja na kukiandika kisha piga picha wanafunzi wanaopitia mikononi mwake wakoje? Jibu utapata. Inauma na pia inachekesha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.