LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
1. Angalia kama mganga huyo ana miliki property yoyote which is capable of being stolen .. eg bodaboda, mifugo mikubwa etc.
Lazima watu wengine pia wawe Wana fahamu kuhusu Mali hiyo ya mganga. Kwamba bodaboda inayo endeshwa na Jamaa fulani ni Mali ya huyo Bwana Mganga.
2. Nenda kaibe.hiyo bodaboda eidha wewe mwenyewe au peleka majeshi waka iibe hiyo bodaboda..
Bodaboda ikisha ibiwa hakikisha habari ina enea mtaa mzima kwamba bodaboda ya mganga imeibiwa.
3. SIKILIZIA.
KAMA NI MGANGA KWELI
1. ALITAKIWA AWE AMEIZINDIKA BODABODA YAKE ISI IBIWE.
okay tuseme basi alijisahau hakuizindika. Tunamsamehe Kwa kijisahau Kwa sababu na yeye NI binadamu Bana
2. ATAFANYA UGANGA WAKE BODABODA YAKE IRUDI HARAKA SANA.
Hapo Mambo matatu yote yamekamilika yani:
1. Yesu yupo.
2. Yohana Mbatizaji yupo.
3. Na maji ya Mto Yordani yapo
So nothing can prevent baptism from happening.
1. Mganga yupo.
2. Bodaboda ya mganga imeibiwa.
3. Na mwizi aliye iba Bodaboda yupo.
So Hakuna cha kumzuia mganga kuroga mwizi arejeshe bodaboda yake.
SO WHAT WILL BE THE REACTION FROM MGANGA.
A. KAMA NI MGANGA KWELI BASI BODABODA YAKE UTAIRUDISHA MWENYEWE.
B. KAMA.NI MAGUMASHI: ATAHAMA MTAA HUO ALFAJIRI YA KESHO YAKE. KWANINI? KWA SABABU YA AIBU YA KUIBIWA NA KUSHINDWA KUREJESHA MALI YAKE.
ANGALIZO: DO IT AT UR OWN RISK CAUSE WAGANGA MAGUMASHI WANAKUWAGA NA CONNECTION ZA WACHAWI NA WAGANGA WA UKWELI SO ANAWEZA KWENDA KUKUROGA KWA WACHAWI/WAGANGA WA UKWELI
Haya sasa Twenzetu
Lazima watu wengine pia wawe Wana fahamu kuhusu Mali hiyo ya mganga. Kwamba bodaboda inayo endeshwa na Jamaa fulani ni Mali ya huyo Bwana Mganga.
2. Nenda kaibe.hiyo bodaboda eidha wewe mwenyewe au peleka majeshi waka iibe hiyo bodaboda..
Bodaboda ikisha ibiwa hakikisha habari ina enea mtaa mzima kwamba bodaboda ya mganga imeibiwa.
3. SIKILIZIA.
KAMA NI MGANGA KWELI
1. ALITAKIWA AWE AMEIZINDIKA BODABODA YAKE ISI IBIWE.
okay tuseme basi alijisahau hakuizindika. Tunamsamehe Kwa kijisahau Kwa sababu na yeye NI binadamu Bana
2. ATAFANYA UGANGA WAKE BODABODA YAKE IRUDI HARAKA SANA.
Hapo Mambo matatu yote yamekamilika yani:
1. Yesu yupo.
2. Yohana Mbatizaji yupo.
3. Na maji ya Mto Yordani yapo
So nothing can prevent baptism from happening.
1. Mganga yupo.
2. Bodaboda ya mganga imeibiwa.
3. Na mwizi aliye iba Bodaboda yupo.
So Hakuna cha kumzuia mganga kuroga mwizi arejeshe bodaboda yake.
SO WHAT WILL BE THE REACTION FROM MGANGA.
A. KAMA NI MGANGA KWELI BASI BODABODA YAKE UTAIRUDISHA MWENYEWE.
B. KAMA.NI MAGUMASHI: ATAHAMA MTAA HUO ALFAJIRI YA KESHO YAKE. KWANINI? KWA SABABU YA AIBU YA KUIBIWA NA KUSHINDWA KUREJESHA MALI YAKE.
ANGALIZO: DO IT AT UR OWN RISK CAUSE WAGANGA MAGUMASHI WANAKUWAGA NA CONNECTION ZA WACHAWI NA WAGANGA WA UKWELI SO ANAWEZA KWENDA KUKUROGA KWA WACHAWI/WAGANGA WA UKWELI
Haya sasa Twenzetu