Jinsi ya kujua kama mganga aliye hamia mtaani kwenu ni mganga kweli au magumashi

Jinsi ya kujua kama mganga aliye hamia mtaani kwenu ni mganga kweli au magumashi

Kuna kipindi chuo kuna mdada alikua ana mashetani anajifanya kama anaagua sijji kututisha tu wenzake domitory.; nakumbuka nilikua mtata fulan mtukutu sana..nikamwambia chizi mwenzangu oya tumuibie hiyu cheni yake ya gold ila tutairudisha🤣! Tukaiba..uwii🤣 aliamsha hayo majini ..kifupi akaenda kuleta sheikh sijui kusoma albadir..hofu yangu ikawa kwa shoga kama hatachomoa betri..hahaa sheikha kasoma kisomo weeee..tuko wote room...!akasema huyo aloiba sijui yatampata mambo gan..hahaa...hakuna kitu...shenz kbs! Tukairudisha baada ya mwezi!.imani haba tu!alikua anaboa..kila sk anapandisha mashetan..nilikua nakereka sana!

Chuo gani? Ingekuwa Udsm wangemtimua room angeenda kukaa mtaani
 
Mad max. Usiku wote huu na hichi kibaridi uko macho? Umeshamaliza kula chakula cha usiku? Au wewe ni mlinzi kama mimi?
Mkuu acha tu. Jana ile mvua pale nilikua Bar. Home godoro lililowana maana niliondoka na key za ghetto majirani hawakunisaidia. Hapa sahivi ndio nimelala kwa mshkaji Kimara yy kaenda Job. Mkuu haya maisha we yasikie tu.
 
Back
Top Bottom