Will i.a.m
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 347
- 49
- Thread starter
- #21
Njia ya rahisi ni kwenda kupima tu ukimwi!!!
hii ni rahisi zaidi ya kupima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njia ya rahisi ni kwenda kupima tu ukimwi!!!
Umevurugwa weunazani kila mtu wakumuongopea kwasababu eti njianyepesi yakujua dalil za vvu acha kukurubuka bro humu ndani tunataka mtu huandike ktuambacho unauakikanacho sio unalopoka jipange we njuka nini?
mkuu acha kupotosha jamii wewe unafikiri kinachopunguza kinga ni vvu pekee yake kuna magonjwa kama saratani kisukari matumizi mabaya ya dawa kama steroid
We hii research umefanyia wapi?
Hata mikwaruzo haiponi kwa siku tatu,
Kama vidonda vikubwa vingepona kwa siku 7
Hata kusingekuwa na uhitaji wa madawa ya vidonda!!
Una matatizo wewe.
nimeifanyia muhimbili
inapona kwa siku moja kama ni mkwaruzo na vidonda vikubwa vinapona kwa siku 5 mpaka saba inategemea na kinga ya mtu ndio maaana mtu mwingine mafua tu yanamfanaya alae wodini wakati mwingine anadunda mtaani
Aliyetoa hii post apigwe, na mi nasema apigwe tu maana tumechoka sasa!
Will i.a.m wa bongo ... naïve/null hypothesesnjia ni rahisi ni kuangalia mda wa majeraha uliyapata kama vile kidonda na nk ni mda gani mpaka kupona kwa mfano kidonda kwa kawaida kinatakiwa kichukue siku 1 mpaka 3 kupona kama kikubwa zaidi basi ni siku 5 mpka a7 ila kama kikichukua kama siku 10 na zaidi basi ujue kinga zao zinafanaya kazi ya kupamabana ana vvu hivyo zinashindwa kupambana vyema na vvu