jinsi ya kujua kama una vvu bila kupima

jinsi ya kujua kama una vvu bila kupima

Umevurugwa weunazani kila mtu wakumuongopea kwasababu eti njianyepesi yakujua dalil za vvu acha kukurubuka bro humu ndani tunataka mtu huandike ktuambacho unauakikanacho sio unalopoka jipange we njuka nini?

hiii ni zaidi ya uhakiaka kwani nishafanya utafiti
 
mkuu acha kupotosha jamii wewe unafikiri kinachopunguza kinga ni vvu pekee yake kuna magonjwa kama saratani kisukari matumizi mabaya ya dawa kama steroid

kinga ikiwa chini ndio magonjwa hayo yana aanza kujitokeza
 
We hii research umefanyia wapi?

Hata mikwaruzo haiponi kwa siku tatu,

Kama vidonda vikubwa vingepona kwa siku 7

Hata kusingekuwa na uhitaji wa madawa ya vidonda!!

nimeifanyia muhimbili
inapona kwa siku moja kama ni mkwaruzo na vidonda vikubwa vinapona kwa siku 5 mpaka saba inategemea na kinga ya mtu ndio maaana mtu mwingine mafua tu yanamfanaya alae wodini wakati mwingine anadunda mtaani
 
nimeifanyia muhimbili
inapona kwa siku moja kama ni mkwaruzo na vidonda vikubwa vinapona kwa siku 5 mpaka saba inategemea na kinga ya mtu ndio maaana mtu mwingine mafua tu yanamfanaya alae wodini wakati mwingine anadunda mtaani

Kwa hiyo wazungu wana VVU? Umechemka vibaya wangu.
Hiyo research ya Muhimbili mmmhh. Majanga
 
bila shaka mleta mada..atakuwa amejikwaa sehemu..sasa yupo kwenye harakati za kujifariji..
 
mijitu ya jamiii forum mibishi hata haielewi sijui mpaka upasue mibichwa yaoo mxuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
njia ni rahisi ni kuangalia mda wa majeraha uliyapata kama vile kidonda na nk ni mda gani mpaka kupona kwa mfano kidonda kwa kawaida kinatakiwa kichukue siku 1 mpaka 3 kupona kama kikubwa zaidi basi ni siku 5 mpka a7 ila kama kikichukua kama siku 10 na zaidi basi ujue kinga zao zinafanaya kazi ya kupamabana ana vvu hivyo zinashindwa kupambana vyema na vvu
Will i.a.m wa bongo ... naïve/null hypotheses
 
Back
Top Bottom