Jinsi ya kukokotoa kiasi cha fedha ya Mkopo kuwa %

Kwani hiyo 3,000,000 ni kwa 1yr au miaka yote ya masomo.ex 3yrs for such amount.
 
Hey ze duduz, nmepata 3,705,500. Ada yangu ni 1,300,000 nmelamba % ngapi hapo?
 
Du we mwongo hadi raha et vyuo vote milion b ha ha
 
ze duduz anashka wat maskio na mnamwamin kwel haya ngoja muendelee akimaliza ntakuja kutoa ufafanuz ila msiamin kila ndio zngne sio
 
Wakuu mi nimetupiwa 2284750 na ada ni 1100000 je ni % ngapi?
 
wazeiya nmepata 2,037,500/= na fee yangu ni 1.5,kwa hali hyo nahc kama nimepata asilimia 1 ya mkopo
 
wazeiya nmepata 2,037,500/= na fee yangu ni 1.5,kwa hali hyo nahc kama nimepata asilimia 1 ya mkopo


mkonya fanya hivi.
chukua 2,037,500
toa meals & accommodations(1,837,500)
2,037,500-1,837,500=1,200,000
toa stationaries(200,000)
1,200,000-200,000=1,000,000
sasa hii inayo baki ni ya field na tuition fee let's say field ni 400,000(maana hii ina effectiwa na % uliyo pata na nomal hua ni 600,000)
ukitoa itabaki 600,000
then calculate
(600,000)
------------------×100%=40%
(1,500,000)
kwasababu kuna pesa ya special faculty
requirements sijaiweka utakua umepata 30% kak hiyo 70% iliyo baki ni kama 1,050,000 hii na uhakika unaweza ilipa
 

Baada ya miaka minane akili ya kizazi cha watz itajaa mawazo ya mikopo tu.
 
Nyie kurupukeni tu, meals and stationery zinatofautiana baina ya vyuo bt sio sana, pia vyuo vya public na private michango imetofautiana na boardloan wanajua walipospecify..by the way conglats
 
sasa kwa wanaojua si waelezee sio kila mtu aseme amepata sh. Ngapi!?!??!
 
kwa ufahamu wangu ni kwamba hiko hivi meals and accomodation=1.8M at a max of 8 moths books and stationaries=200,000 special faculty requirements=150,000 field training practice(FTP)=540,000 AT a max. of 54 days @day 10000 orientation week=around 50,000 tuition fees which is variable ukifanya summation ya vyote afu kugawia kiasi ulichopata kuzidisha 100% then huo ndo mkopo source ni HESLB bulletin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…