Ile ya TRA mbona kama ni nyepesi pia! Jua Gross yako, toa 10% ya mifuko ya kijamii, inayobaki tumbukiza mule, kama ni wa huku, unaweka kwenye mainland, kama ni mkaazi, unaweka huko, ukibonyeza calculate tu, baaaam, paye yako hadharani, mimi yangu ni sawa kabisa na ya Chief.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.