Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Nenda kwa mshikaji wako wa kishua umkope sh' 50,000 Kisha muahidi utamrejeshea kesho jioni.
Akishakukopesha hiyo pesa Wala usiende kuitumia.Itunze vizuri afu mrudishie hyo hyo pesa kabla ya jioni yenyewe kufika.
Kaa siku tatu Kisha Rudi tena kwake ukamkope sh' 200,000 na umuahidi utamrudishia baada ya siku mbili.Akishakukopesha fanya Kama ulivyofanya round ya Kwanza,itunze Kisha mrudishie hyo hyo pesa kwa muda mlioahidiana( Hapa utakuwa umejenga uaminifu Kati yenu)
Round ya tatu Sasa ingia mazima, nenda kwake ukamkope 600,000 Kisha umuombe akupe wiki Moja, Mwana akijichanganya tu akakupa hyo hela Basi sepa mazima Tena kwa speed ya 5G.Block namba yake na ikibidi Hama kitaa nenda kaishi sehemu nyingine [emoji23].Hapa URAFIKI wenu utakuwa umeisha kihivyo.
Akishakukopesha hiyo pesa Wala usiende kuitumia.Itunze vizuri afu mrudishie hyo hyo pesa kabla ya jioni yenyewe kufika.
Kaa siku tatu Kisha Rudi tena kwake ukamkope sh' 200,000 na umuahidi utamrudishia baada ya siku mbili.Akishakukopesha fanya Kama ulivyofanya round ya Kwanza,itunze Kisha mrudishie hyo hyo pesa kwa muda mlioahidiana( Hapa utakuwa umejenga uaminifu Kati yenu)
Round ya tatu Sasa ingia mazima, nenda kwake ukamkope 600,000 Kisha umuombe akupe wiki Moja, Mwana akijichanganya tu akakupa hyo hela Basi sepa mazima Tena kwa speed ya 5G.Block namba yake na ikibidi Hama kitaa nenda kaishi sehemu nyingine [emoji23].Hapa URAFIKI wenu utakuwa umeisha kihivyo.