Huwezi kujua kila kitu kweny cmu... Utamjua tu vile unavyotumia Mara kwa Mara. Simu ni computer.... Huwez juakilakitu kweny computer.Kama una smart4n na huwezi tumia google map, it means your phone is smarter than you.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Simu sio computerHuwezi kujua kila kitu kweny cmu... Utamjua tu vile unavyotumia Mara kwa Mara. Simu ni computer.... Huwez juakilakitu kweny computer.
Simu ni computer.
Nimesema simu sio computer, wewe ndio uniambie kwann unasema cm ni computerSimu ni computer.
Kwani we unaitafsiri vipi computer?
Unatafuta ligi boss.Nimesema simu sio computer, wewe ndio uniambie kwann unasema cm ni computer
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Asante, nimefanikiwa kuondoka na gari ya mchuchu kila siku namwambia niazime gari nioshe mjini hataki. Ila tukienda mahali akipaki ananipa funguo nikae nao kwenye pochi.
Nimemwambia naenda msalani kisha nikaenda kufanya majaribio waalah imekubali.
Nusu saa ijayo namuachia manyoya....[emoji28]
Yeeyooooh
Gari za kudunduliza hausahau ng'o ulikoipaki.
Gari bado ina marejesho ya bank kamwe husahau ilipo.
Beba halafu upigwe pasi wang'oe bampa ndio utaeleza nani alikufundisha kiherehere!
Kwa tafsiri yako naweza sema, simu inasifa kama za computer. Lakini haimaanishi simu ni computer.Unatafuta ligi boss.
Computer ina sifa nne;
1. Accept input
2. Produce output
3. Store data
4. Process data
Ukiangalia hivyo vyote simu inavifanya.
Leta tafsiri yako sasa
Ili iwe computer inatakiwa kuwaje? Usizunguke sana weka elimu yako hapaKwa tafsiri yako naweza sema, simu inasifa kama za computer. Lakini haimaanishi simu ni computer.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Mkuu, mchina na mwafrika wote ni binadam na wanasifa zinazoendana. Ila ukisema mchina ni mwafrika hautakuwa sahihi.Ili iwe computer inatakiwa kuwaje? Usizunguke sana weka elimu yako hapa
Unaleta majibu ya kiswahili tu.Mkuu, mchina na mwafrika wote ni binadam na wanasifa zinazoendana. Ila ukisema mchina ni mwafrika hautakuwa sahihi.
Simu sio computer na computer sio simu. Period.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kwasababu simu zote haziwezi fanya vitu vyote vinavyofanywa na computer. Najua unapoongelea simu, kichwani kwako unafikiria smart phones, ila kuna wide range ya hizo simu, kuanzia za button hadi landlines zote inabidi zijumuishwe.Unaleta majibu ya kiswahili tu.
Ongea kitaalam kwanini simu sio computer?
Unapiga blah blah achana nazo weka hoja kwanini simu sio computer?
Nchi imeingia uchumi wa kati kwa mbwembwe sanaWatanzania mmeanza kuwa matajiri, yaani mnasahau hata ni wapi mlipopaki magari yenu!?
Raha ya kuwa mwanamke, unajidekeza tuu na sauti unabadili kuwa ya mbingu ya 7
Jamaa analainikaa na utasikia tuu poleee babes, hujaumia...!! Don’t worry I’ll fix everything [emoji4][emoji4][emoji4] unampa busu neneee halafu unamnong’oneza sikioni.... I want to marinate you later, please be at the playground on time at 2215 hours.
Aahahahahaha, unaona tabasamu kama la Obama limefunika taswira nzima ya mjamaa [emoji2094][emoji2094][emoji2094][emoji2094][emoji2094].
NB: Tafadhali iga pale panapofaa.
Daah, mama weee! Na hapa ushanilainisha njoo uchukue funguo![emoji23][emoji23][emoji1]
Am coming Frey, nnvopenda magari mie looh [emoji12][emoji12]
Yaani utamu wa kupewa funguo za gari na mwanaume uondoke na gari lake... haupimiki aiseeh...
Viva men who offer their cars to us (women).