mbenda said
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 1,084
- 2,074
Tunazungumzia mwanaume aliesahau kama ameowa akaenda kuowa mke WA pili hukoooo huku akiwa amesahau kama ana mke mwingineHivi hapa mnazungumzia mtu kusahau alipopaki GARI au mtu kusahau nyumbani na kujikuta yuko gesti
Siyo kuchukua tu funguo, na papa utoe[emoji23][emoji23]
Kwanini usisome Number Plate? Uzembe huoHahaha watu hawajui tu ukiwa unamiliki sare ya taifa IST halafu upaki sehemu kama kariakoo au parking ambayo ina magari mengi unaweza kujikuta unataka kuondoka na gari la mtu πππππ
Si unasoma Number Plate tu? Mtu akiniambia alitaka kuondoka na gari ya mtu namuona mwizi tu.Very useful
Mnaoshangaa kua unawezaje kusahau ulipopaki it happens sometimes....kwa sie wenye vichwa vizito.
Nilishawahi peleka mtu airport wakati narudi nikawa nimejichanganya sijui gari nimeacha kwenye lane ipi aisee nikaenda kufata gari identical na yangu....aibuuu af mtu anaweza hisi kibaka [emoji23][emoji23]
Again kwa sehemu kama kariakoo naweza kupaki nikaweka alama zangu kabisaaaaa kua nimepaki karibu na landmark flani ila nikazunguka weeeeeeeee hadi location nasahau (it seriously happens au mi mzito sana?Sijui).....japo siku hizi nimepata mbinu ya kupaki Anatoglo kule [emoji1]
Asante lakini wacha tuongeze matumizi ya simu tutoe ushamba....
Mbona unaonekana Lishamba hivi Jombaa? Unajivua nguo, jamaa anakupa elimu bure bado unajifanya libishiKwa tafsiri yako naweza sema, simu inasifa kama za computer. Lakini haimaanishi simu ni computer.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Njoo univalishe tena hizo nguoMbona unaonekana Lishamba hivi Jombaa? Unajivua nguo, jamaa anakupa elimu bure bado unajifanya libishi
Kwanini usisome Number Plate? Uzembe huo