Jinsi ya kulea vifaranga wa kuku wa kienyeji kwa lengo lako ni kuwa na kuku wengi?

Jinsi ya kulea vifaranga wa kuku wa kienyeji kwa lengo lako ni kuwa na kuku wengi?

Mwezi mmoja inatosha ila wakizoea hata wakiwa wakubwa unawapa mara chachechache.
Baadhi ya sifa za mazoea ni:-
Maziwa yana madini
Maziwa yana amino acids
Maziwa yana virutubisho vingi mno zaidi ya hivyo ambavyo ni muhimu kwa kiumbe hususani kipindi cha uchanga.
Badala ya kuhangaika kutafuta damu chokaa dagaa n.k njia mbadala na rahisi ni kuwapatia maziwa na pumba laini.
Jaribu nina uhakika na ninachokitolea ufafanuzi.
Sawa mkuu, mimi ninavyo nitajaribu siku moja, hauna mayai?
 
Kuku wa Kienyeji unapata tija vipi? Kuku wa Kienyeji inatakiwa waishi tu maisha yao ya asili na sio wa kuhangaikie kabisa.

Kuku wa kuhangaikia ni Commercial breeds kama Layers na Broiler, hawa ni commercial breed ambao lazima uwekeze nguvu zote kwao kwa sababu wana tija mbeleeni.

Kuku wa kienyeji ili upate faida hupaswi kabisa ku pay attentions kwake.


Ukiona kuku wa kienyeji wamejaa fuso jua wamekusanywa kutoka kwenye nyumba za kitosha kama kuku ni 1000 jua wafugaji wako 800 hapo hadi 900.

Na katika nyakati hizi inabidi watu waelimishane ufugaji wa kibiashara lwa ajili ya kulisha population.

Hongera kwa elimu lakini
 
Unawezaje kuprove kwamba ni wa kienyeji pure na sio chotara? Hebu tuambie unawezaje kutofautisha Kienyeji pure na Chotara. Kwa sababu watu huwa wanauza chotara kwa jina la kienyeji na now day hata vijijini wamejaa Chotara
Mwezi mmoja inatosha ila wakizoea hata wakiwa wakubwa unawapa mara chachechache.
Baadhi ya sifa za mazoea ni:-
Maziwa yana madini
Maziwa yana amino acids,calcium na protini.
Maziwa yana virutubisho vingi mno zaidi ya hivyo ambavyo ni muhimu kwa kiumbe hususani kipindi cha uchanga.
Tanbihi : Tafiti zinaonesha kuku wana uwezo Mdogo wa kumeng'enya lactose.
Badala ya kuhangaika kutafuta damu chokaa dagaa n.k njia mbadala na rahisi ni kuwapatia maziwa na pumba laini.
Jaribu nina uhakika na ninachokitolea ufafanuzi.
 
Unawezaje kuprove kwamba ni wa kienyeji pure na sio chotara? Hebu tuambie unawezaje kutofautisha Kienyeji pure na Chotara. Kwa sababu watu huwa wanauza chotara kwa jina la kienyeji na now day hata vijijini wamejaa Chotara
Naomba niulize, Ila utanisamehe Kama swali litakuwa lakijinga.
Ukipandisha jogoo kishingo na tetea lisilo kishingo je upatacho ni chotara japo wazazi walikua wote wa kienyeji?
 
Unawezaje kuprove kwamba ni wa kienyeji pure na sio chotara? Hebu tuambie unawezaje kutofautisha Kienyeji pure na Chotara. Kwa sababu watu huwa wanauza chotara kwa jina la kienyeji na now day hata vijijini wamejaa Chotara
Mazingira ninayowapata,
Maisha waliyokulia,
Vyakula wanavyokula,
Sifa zao.
 
Back
Top Bottom