Mwezi mmoja inatosha ila wakizoea hata wakiwa wakubwa unawapa mara chachechache.
Baadhi ya sifa za mazoea ni:-
Maziwa yana madini
Maziwa yana amino acids,calcium na protini.
Maziwa yana virutubisho vingi mno zaidi ya hivyo ambavyo ni muhimu kwa kiumbe hususani kipindi cha uchanga.
Tanbihi : Tafiti zinaonesha kuku wana uwezo Mdogo wa kumeng'enya lactose.
Badala ya kuhangaika kutafuta damu chokaa dagaa n.k njia mbadala na rahisi ni kuwapatia maziwa na pumba laini.
Jaribu nina uhakika na ninachokitolea ufafanuzi.