Jinsi ya kulea vifaranga wa kuku wa kienyeji kwa lengo lako ni kuwa na kuku wengi?

Sawa mkuu, mimi ninavyo nitajaribu siku moja, hauna mayai?
 
Kuku wa Kienyeji unapata tija vipi? Kuku wa Kienyeji inatakiwa waishi tu maisha yao ya asili na sio wa kuhangaikie kabisa.

Kuku wa kuhangaikia ni Commercial breeds kama Layers na Broiler, hawa ni commercial breed ambao lazima uwekeze nguvu zote kwao kwa sababu wana tija mbeleeni.

Kuku wa kienyeji ili upate faida hupaswi kabisa ku pay attentions kwake.


Ukiona kuku wa kienyeji wamejaa fuso jua wamekusanywa kutoka kwenye nyumba za kitosha kama kuku ni 1000 jua wafugaji wako 800 hapo hadi 900.

Na katika nyakati hizi inabidi watu waelimishane ufugaji wa kibiashara lwa ajili ya kulisha population.

Hongera kwa elimu lakini
 
Unawezaje kuprove kwamba ni wa kienyeji pure na sio chotara? Hebu tuambie unawezaje kutofautisha Kienyeji pure na Chotara. Kwa sababu watu huwa wanauza chotara kwa jina la kienyeji na now day hata vijijini wamejaa Chotara
 
Unawezaje kuprove kwamba ni wa kienyeji pure na sio chotara? Hebu tuambie unawezaje kutofautisha Kienyeji pure na Chotara. Kwa sababu watu huwa wanauza chotara kwa jina la kienyeji na now day hata vijijini wamejaa Chotara
Naomba niulize, Ila utanisamehe Kama swali litakuwa lakijinga.
Ukipandisha jogoo kishingo na tetea lisilo kishingo je upatacho ni chotara japo wazazi walikua wote wa kienyeji?
 
Unawezaje kuprove kwamba ni wa kienyeji pure na sio chotara? Hebu tuambie unawezaje kutofautisha Kienyeji pure na Chotara. Kwa sababu watu huwa wanauza chotara kwa jina la kienyeji na now day hata vijijini wamejaa Chotara
Mazingira ninayowapata,
Maisha waliyokulia,
Vyakula wanavyokula,
Sifa zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…