Mr.laravel
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 471
- 513
You just reminded me of my best friend. Yani yeye ugonjwa wake mkubwa ni wakaka wanaovaa "cadets". Asimeet na mtu kavaa cadet atanipa taarifa ASAP
Bana naomba nitafutie picha ya mkaka mweusi ya hivyo teh
Wanini!?Bana naomba nitafutie picha ya mkaka mweusi ya hivyo teh
Namuangalia tu alivyopendeza[emoji12]Wanini!?
Ngoja nikutumie picha yangu maana leo nimevaa kama huyu jamaa ila tshirt yangu ya chocolate....Bana naomba nitafutie picha ya mkaka mweusi ya hivyo teh
Sisi weupe unatutenga enhee ?Bana naomba nitafutie picha ya mkaka mweusi ya hivyo teh
Tuwekee na maduka basi zinapopatikana maanake huku Nanjilinji hamna hivyo vitu.....
Hapana,unakosea sana...Hahaha aisee dada angu jamaa ana point ati ,mimi kitu nyekundu niliyonayo ni Rubega peke yake ,vinginevyo hata leso ni za draft ,,,Ni aibu ati kwa masai kukatwa hospital ndio maana jamaa kaamua kabisa kutolea mfano ,
Bora hata Maroon
Uuh hurry up please my dearNgoja nikutumie picha yangu maana leo nimevaa kama huyu jamaa ila tshirt yangu ya chocolate....
Nyie zamu yenu kesho eeehSisi weupe unatutenga enhee ?
Haya nasubiri zamu yangu kwa hamu.Nyie zamu yenu kesho eeeh
Hizi ni picha za online tu kaka nimejaribu kuangalia ipi ukivaa na ipi napendeza na kuendanaTuwekee na maduka basi zinapopatikana maanake huku Nanjilinji hamna hivyo vitu.....
Pumbafuuuu wewe!!atakuwa mchagga kama wewe labda! hio bukta ndani au juu ya suruali?
Shati jeusi , dark blue yanapendezea.wadau nimenunua surual ya brown matata sana, imesimama ile mbaya. but napata kigugumiz ni match na shat rag gan? sina shati jeupe plain.