Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Hahaha kuna mapazia fulani yalikuwa kama yanateleza fulani hivi, nusu nigongwe na baiskeli Nzega kwa kushangaa , wasukuma wameshona sare. Mashemeji zako wamenishinda tabia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwenzangu! Shemeji zangu nao hawajambo kwa kunisuprise[emoji134]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee sio kwa kunivunja mbavu huko jamani, yaani we acha tu, kuna mmoja huyo anavaaga suti nyekundu,tai ya blue,shati la kung'aa la njano na kiatu cheupe, ukimuona kama kipepeo.Hahaha kuna mapazia fulani yalikuwa kama yanateleza fulani hivi, nusu nigongwe na baiskeli Nzega kwa kushangaa , wasukuma wameshona sare. Mashemeji zako wamenishinda tabia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ha ha ha ha ha ha hivi Wasukuma tumewakosea nini? Yaani mkiona mshamba huko mtaani ni Msukuma......[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee sio kwa kunivunja mbavu huko jamani, yaani we acha tu, kuna mmoja huyo anavaaga suti nyekundu,tai ya blue,shati la kung'aa la njano na kiatu cheupe, ukimuona kama kipepeo.
Mie sielewi ni colour blindness au ni kitu gani[emoji134]
Yaani shemeji zangu mnaniachaga hoi acha tu.ha ha ha ha ha ha hivi Wasukuma tumewakosea nini? Yaani mkiona mshamba huko mtaani ni Msukuma......
Hehehe huyo anataka kuwa "rainbow".[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee sio kwa kunivunja mbavu huko jamani, yaani we acha tu, kuna mmoja huyo anavaaga suti nyekundu,tai ya blue,shati la kung'aa la njano na kiatu cheupe, ukimuona kama kipepeo.
Mie sielewi ni colour blindness au ni kitu gani[emoji134]
Heheh kumbe na yeye ni shemeji ako mwee? Kina ngosha wananifurahishaga mno (soma kwa kukandamizaHahahaaaa! Kwakweli i love is msukuma, RRONDO atakuchapaaa!
Hapo kwenye kuongea ndio huwa nahisi wanaumia aisee[emoji85] [emoji85]Heheh kumbe na yeye ni shemeji ako mwee? Kina ngosha wananifurahishaga mno (soma kwa kukandamiza
Hehehe wameshazoeaga wenyewe. Sasa usiombe ukutane na brazaman wa kisukuma, ile anaanza kuongea tu . ..mkandamizo oyeee (yani wanasisitiza kila herufi ya kwanza na ya mwisho ya neno). Nawapendaga Tu JamaniHapo kwenye kuongea ndio huwa nahisi wanaumia aisee[emoji85] [emoji85]
Ile ongea yao naipenda inanifurahisha[emoji23]Hehehe wameshazoeaga wenyewe. Sasa usiombe ukutane na brazaman wa kisukuma, ile anaanza kuongea tu . ..mkandamizo oyeee (yani wanasisitiza kila herufi ya kwanza ya neno). Nawapendaga Tu Jamani
Weee naipendajeeee sasa. Ngoja nimpigie ngosha mmoja nicheke mie tehIle ongea yao naipenda inanifurahisha[emoji23]
Thats fantasticHapana,unakosea sana...
Nyie mkisikia nyekundu mnajenga picha ya yale mashati ya kung'aa ya harusini...
Mie ukinivalia hivi kwenye dinner date nitakuona wa maana sana.
usikute hao ni wasukuma maana kwenye mavazi wanavaa kama wako mgodiniBukta ya ndani lekundu.. Mi sijui ni kabila gani?
Ile ongea yao naipenda inanifurahisha[emoji23]
Hehehe wameshazoeaga wenyewe. Sasa usiombe ukutane na brazaman wa kisukuma, ile anaanza kuongea tu . ..mkandamizo oyeee (yani wanasisitiza kila herufi ya kwanza na ya mwisho ya neno). Nawapendaga Tu Jamani
Hapo kwenye kuongea ndio huwa nahisi wanaumia aisee[emoji85] [emoji85]
Ukabila wa nini tena kwenye mambo ya mavazi??!! Hebu tuacheni na ushamba wetu....Heheh kumbe na yeye ni shemeji ako mwee? Kina ngosha wananifurahishaga mno (soma kwa kukandamiza
Duh kweli mmetupania....usikute hao ni wasukuma maana kwenye mavazi wanavaa kama wako mgodini
Tulianzia kwenye mavazi hayo mengine ni changamsha genge.[emoji85] [emoji85]Ukabila wa nini tena kwenye mambo ya mavazi??!! Hebu tuacheni na ushamba wetu....
Hahaaaa! Hebu waache shemeji zangu.usikute hao ni wasukuma maana kwenye mavazi wanavaa kama wako mgodini