Jinsi ya 'Kumatch' mavazi

Napenda saaana Casual wear costumes.

Hivi what does it takes kuwa model professionaly!? Nataka kujaribu fortune yangu huko.
 

Attachments

  • 1456336171351.jpg
    92.6 KB · Views: 156
  • 1456336203796.jpg
    71.4 KB · Views: 158
  • 1456336225054.jpg
    83.8 KB · Views: 172
Hehehehe duuuu
I cant add more aiseee
 
Pink=faminine
 
Hivi rangi tanashati za nguo kwa mwanaume ni zipi.......?.....kwa sababu kwangu mimi ukinivalia shati jekundu nakuona kama Poacher.....ila ukitupia tshirt nyekundu na jeans flan amaizing.......nakuona kama Taye Diggs........
Preta we ni kilaka
 
UncleBen njoo uone hili popoma linasema nini!
 
Umesahau na ile mikanda yao yenye bonge la bakozi[emoji85] [emoji85]

Au kiatu kinatoa ulimi nje kama umbwa......lolololololo......aisee.....
Kunimaliza kabisa......uvae na suruale iliyokubana eti modo......uwiiiiiii......nakufwaaaa......
 
Au kiatu kinatoa ulimi nje kama umbwa......lolololololo......aisee.....
Kunimaliza kabisa......uvae na suruale iliyokubana eti modo......uwiiiiiii......nakufwaaaa......
Halafu ndo umkute anapenda sifa kila saa kupigia rafiki zake kuwapa taarifa "niko na shemeji yenu hapa" wakati mtu huna hata mpango wa kufikiria ombi lake.
Na perfum yake ya 3500 halafu ya kike.... Wanawake sisi tunavumilia mengi
 
Halafu ndo umkute anapenda sifa kila saa kupigia rafiki zake kuwapa taarifa "niko na shemeji yenu hapa" wakati mtu huna hata mpango wa kufikiria ombi lake.
Na perfum yake ya 3500 halafu ya kike.... Wanawake sisi tunavumilia mengi

Ha ha ha.......wanawake tuna adhabu jamani.....hebu niambie ni nini hicho sasa.......
Na vile hatuwezi jilazimisha kuingiza rohoni......uwiiiii......kazi ni kubwa......
 
Ha ha ha.......wanawake tuna adhabu jamani.....hebu niambie ni nini hicho sasa.......
Na vile hatuwezi jilazimisha kuingiza rohoni......uwiiiii......kazi ni kubwa......
Ni shiiiiiiiiiiiiiiiiida [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Halafu ndo umkute anapenda sifa kila saa kupigia rafiki zake kuwapa taarifa "niko na shemeji yenu hapa" wakati mtu huna hata mpango wa kufikiria ombi lake.
Na perfum yake ya 3500 halafu ya kike.... Wanawake sisi tunavumilia mengi
Hahaha mbona unatuua sana jamani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…