Mr.laravel
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 471
- 513
Hizo nilizotupia naona kama ziko poa zinaendana , wewe unaonaje ?weka mipicha hapa nikumacheshie coz wanaume hamjui rangi, unaweza kusema una shati jekundu kumbe orange, au shati la blue kumbe kijani..........hahahaha pole pole msinishushue
kwa casual zinaendana kabisaHizo nilizotupia naona kama ziko poa zinaendana , wewe unaonaje ?
Hahahahahaha sio wote lakini, wapo smart piaHahaha mbona unatuua sana jamani ?
ni kweli wanaume wengi hawajui rangi.weka mipicha hapa nikumacheshie coz wanaume hamjui rangi, unaweza kusema una shati jekundu kumbe orange, au shati la blue kumbe kijani..........hahahaha pole pole msinishushue
Unaweza kuniambia kwa nini umeniita popoma?Kuna sehemu yoyote kwenye post zangu nineshawahi kukuita hayo majina yako unayoitana na GENTAMYCINE. Sikia we kinuka mkojo unajionaga siku hizi ni super star wa humu jf kama una bahati ya kua umebakishiwa rinda hata moja niite niondoe rinda lililobaki, kama huna rinda uje na KY wkt una reply.UncleBen njoo uone hili popoma linasema nini!
Daah hii ya vidoti vidoti siiwez mkuu, kweli kutoka moyoni
Mbona yakawaida hiyo mkuuDaah hii ya vidoti vidoti siiwez mkuu, kweli kutoka moyoni
Pamoja manKwa hizi tuko pamoja chief
Teh unajikuta hata hujasalimiwa ila ushaitikia "poa"hahaha mbona unapita mulemule shogaaa hapo ndo penyewe sasaa uwiii, af ukute na kamkono kameshiba na kasaa kametulia,, sitaki Mimi jamaniiiiii...
Hahaha aisee dada angu jamaa ana point ati ,mimi kitu nyekundu niliyonayo ni Rubega peke yake ,vinginevyo hata leso ni za draft ,,,Ni aibu ati kwa masai kukatwa hospital ndio maana jamaa kaamua kabisa kutolea mfano ,UncleBen njoo uone hili popoma linasema nini!