Jinsi ya 'Kumatch' mavazi

Jinsi ya 'Kumatch' mavazi

group1-690x450.jpg




kwa mtakao kuja/au mnaovaa suits cha kuzingatia
suits ikukae,....iwe sawia na kamwili kako...hasa sis waref suits ndo mwake.......
blue_suits_4601.jpg
 
On a serious note, mtu anayevaa oversize huwa hata hanibariki. Ka mtu kana mwili mdogo kanaenda kushona suruali metre 6, shati halijulikani kama ni la mikono mirefu au mifupi afu kubwa hadi kwapa linaning'inia

Kuna wale pia wanavalia suruali tumboni, huku juu suruali nyembamba basi unakuta huku nyuma kidume kijungu kinatuna ndiiii, loooh
Na kuna zile people zinavaaga moka nyeupe aiseeeeeeee

teh teh
 
napenda kuvaa suits,...
ntaanza kuvaa nkiwa na gari,...
wengi wanakosea hapa kuvaa suit na kugombania magar g/mboto..,,
wanadhalilisha haka kavazz
 
napenda kuvaa suits,...
ntaanza kuvaa nkiwa na gari,...
wengi wanakosea hapa kuvaa suit na kugombania magar g/mboto..,,
wanadhalilisha haka kavazz
huwa navaa suti mara chache sana lakini nikivaa suti lazima ukubali....
 
Koh Koh kuna ile style wakaka wanavaa mashati/masweta afu wanayavuta vuta hadi kwenye viwiko hapa (kama wamekunja hivi but hayakunjwi), basi najikutaga natabasamu tu
 
Koh Koh kuna ile style wakaka wanavaa mashati/masweta afu wanayavuta vuta hadi kwenye viwiko hapa (kama wamekunja hivi but hayakunjwi), basi najikutaga natabasamu tu
hali ya hewa ya Dar hairuhusu ila hio ilikuwa style naipenda sana......

images

chini namalizia na TIM BOOTS......
 
hali ya hewa ya Dar hairuhusu ila hio ilikuwa style naipenda sana......

images

chini namalizia na TIM BOOTS......
Mweee sasa mbona ntakutumia applications nyingi nyingi teh. Hii nayo ni kama nazozisemea, sasa ile nyingine ni mtu anavaa tu shati la kawaida la mikono mirefu (well fitted) then ndo analivuta hadi kwenye kiwiko, so hadi wa dar wanavaa tu.
 
Back
Top Bottom