Jinsi ya kumchuna mwanamke

ikifikia ni mihela kwa sababu gani nisimchune?..kila siku niko mbioni kutafuta hela..iweje kuna fursa nikose kuichangamkia?..kwan mwanamke anajihisi vipi anapohongwa?..nakuchuna vizuuuri tu..ila sitoboi siri kwa wenzangu but pesa napokea kama kawaida
 
Ndio hao , na mtu wa hivyo akikosa wa kumchuna hawachelewi kukataa jinsia zao na kuhamia za wenzao ili wapate kuchuna vizuri. [emoji87] [emoji87]
Ndiooo. Wananzaga hivo hivo, wakikosa wakuwachuna wadada wa watu wakishtuka wanawachuna wanaume wenzao. Mwisho wa siku wanakimbilia kusema homoni vilikuwa imbalance.
Homoni my foot
 
Ndiooo. Wananzaga hivo hivo, wakikosa wakuwachuna wadada wa watu wakishtuka wanawachuna wanaume wenzao. Mwisho wa siku wanakimbilia kusema homoni vilikuwa imbalance.
Homoni my foot
[emoji122] [emoji122] [emoji122] Kweli tupuuu uliyosema mtoto mzuri mwenzangu.

Ila kazi ipo aisee
 
Hebu tafuta zako wacha kupenda mteremko. Hivi unakuwa na amani kabisa kutumia hela ya kupewa tena na mwanamke lol.

Kweli wanaume mko mbioni kupungua.
...yamebakia magumegume lol, dada nikiwa tyr itabd unishauri nisije kupata bwana mchunaji lol[emoji3]
 
Ushauri huu wala haufai kwa jamii na kipindi cha sasa.
 
Wewee! Mwanaume utamtegemeaje mwanamke aisee!? Kupiga show ni jukumu lako lakini kusaka hela pia ni jukumu lako. Huoni aibu kuhongwa na mwanamke?

Sent from my Nokia-toch using JamiiForums mobile app
Jamaa anaongeza chanzo cha mapato
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
 
...yamebakia magumegume lol, dada nikiwa tyr itabd unishauri nisije kupata bwana mchunaji lol[emoji3]
Hahahahaha unaogopa kuchunwa while wewe haugopi kuchuna,maajabu ya KE ndo haya
Wahenga walisema muosha huoshwa
[emoji13] [emoji13] [emoji13]

Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hahahahaha unaogopa kuchunwa while wewe haugopi kuchuna,maajabu ya KE ndo haya
Wahenga walisema muosha huoshwa
[emoji13] [emoji13] [emoji13]

Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
Me sijawahi kumchuna mtt wa mtu[emoji23]
 
Me sijawahi kumchuna mtt wa mtu[emoji23]
Endelea hivyo hivyo kutokupenda kuchuna maana iseje tokea na wewe ukachunwa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mpaka 2020 ME tutakuwa na alternative strategies za kutosha.Ile awamu ya pili tutanza kuzi implement

Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
 
Jamaa anaongeza chanzo cha mapato
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] dah! Naona pesa imekuwa ngumu hadi show za kibabe sasa zinaanza kuuzwa

Sent from my Nokia-toch using JamiiForums mobile app
 
Mpaka 2020 ME tutakuwa na alternative strategies za kutosha.Ile awamu ya pili tutanza kuzi implement

Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
hahahaha! Wahenga hawakukosea kusema 'Ugumu wa maisha ni kipimo cha akili'... Awamu hii watu wanachekecha bongo zao kufikiri na kugundua vitegauchumi mbalimbali

Sent from my Nokia-toch using JamiiForums mobile app
 
hahahaha! Wahenga hawakukosea kusema 'Ugumu wa maisha ni kipimo cha akili'... Awamu hii watu wanachekecha bongo zao kufikiri na kugundua vitegauchumi mbalimbali

Sent from my Nokia-toch using JamiiForums mobile app
Hahahaha ndo hivyo mdau,jamaa kaona fursa na mtaji wake ni kumridhisha mwanamke
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha ndo hivyo mdau,jamaa kaona fursa na mtaji wake ni kumridhisha mwanamke
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

Sent from Samsung Galaxy S8 Plus using JamiiForums mobile app
Yah ukiona ajira zinazingua unajiajiri tu. Mshikaji kaamua kuwa mjasiriashow

Sent from my Nokia-toch using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…