Jinsi ya kumfahamu girl anayekupenda.

Jinsi ya kumfahamu girl anayekupenda.

duh, mapenzi ya aina hii yamekuwa adimu sana, ikitokea mtu akakufanywa ubehave hivi, then just go for it.

Ila akikumwaga utakuwa kapirton.
 
Mie hata hayo mambo ya u-gelo nakumbuka basi my dear? Ya kuchuma vijani sijui na nini? Niliruka stage, ukinirudisha kwenye sup saa hizi utaniumbua banaa! Mie nikikupenda naanza kukuambia kuna shamba linauzwa, tafuta ng'ombe wa mtamba na sungura wa maziwa.

Ehee then inakuwa je?
 
Hivi kuna galz na ladies eeh? Manake wengine maswali mwanzo mwisho hakuna aibu,lol!
Physically, they are the same. Characteristically however, they are different. Ladies are mature, well behaved, graceful, and charming. Everything they do requires the utmost concern and attention to detail. They take control of their lives and the lives of others!
Girls are sweet, naive, shy and innocent. The girl succumbs to all these desires, all of these inner conflicts, and takes on the responsibility of those that belong to others. Her satisfaction lies in pleasing everyone else.
 
aaahhhh wanawake bwana shida zote hizi za nini?

Ukimpenda mwanaume unamwambia na ukimtamani pia unamwambia tu.....

Sio kila mtu ana uwezo wa kusoma ishara
umeongea kauli tata,wanawake ndo watuambie sisi wanaume live au sisi ndo tuwaambia,ila kama una huo ujasiri unaweza kufunguka
 
Anayenipenda? Ina maana bila hizo dalili sijapendwa bado mkuu?
Haya mambo yapo very complicated,it z not easy to say for sure
kuwa huyu amenipenda coz kuna wengine ktk malezi/makuzi yao hizo
ni dalili za kawaida sana kwao kuwaonyesha wanaume na wanakuwa
hawako in love at all.
Kama vile watu ambavyo huwa tunachanganya kati ya UPOLE na UKIMYA,
ndivyo inapokuwa vigumu kuzielezea dalili za mtu anayependa generally as
you have just done.
Ili ujue kuwa unapendwa,lazima kutakuwa na some "chemistry" btn you two
ambayo ni vigumu kuielezea BUT its easy kui feel.
Mkuu ujue wanawake wametofautiana,mwengine anaweza kukupenda mwenyewe,kama hajakupenda hata ufanyaje hubadilishi msimamo wake,na mwingine the way unavyoendelea kumsumbua kila siku anaanza kuonyesha mabadiliko ya kuvutiwa na wewe
 
HUYO NI KUTOKA IRINGA! WALE WA IFM NI TOFAUTI ANAKUCHANA LIVE! i.e NIMEKUZIMIA MTU WANGU, MTU KAMA WEMA SEPETU AKIKUPENDA ATAANGALIA CHINI HUYO?
Mkuu ila inategemea na mtu aliyevutiwa naye,kama ni mtu wa size yake anaweza akafunguka,kama ni mtu aliyemzidi na mwenye heshima flani anaweza kutumia mbinu kama hizo
 
Pochi lako likiwa hivi hakuna mwanamke duniani ambae hatokupenda:
stock-photo-108723-wallet-full-o-money.jpg


"A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man." - Lana Turner

Kama unabisha muulize MadameX.


Hapo hupendi ila hela yako ndo inapendwa,hujawahi kusikia wake za matajiri wakifumaniwa?
 
Hapo hupendi ila hela yako ndo inapendwa,hujawahi kusikia wake za matajiri wakifumaniwa?

Hata wake za wasio matajiri wanafumaniwa. Uzinzi sio kigezo.

Kuna na nani asiyejuwa Tanzania hii kuwa kuna mwanamke kijana kamkimbia mumewe wa ndoa na sasa ni hawara ya mwana siasa mmoja maarufu na mapenzi huko ni motomoto, unafikiri ilikuwa ni u handsome au marupurupu? kwi kwi kwi teh teh teh!
 
Pochi lako likiwa hivi hakuna mwanamke duniani ambae hatokupenda:
stock-photo-108723-wallet-full-o-money.jpg


“A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man.” - Lana Turner

Kama unabisha muulize MadameX.



Kweli aisee!
 
Hii imemlenga zaidi msichana au mwanamke wa kisasa hasa mjini ila kutoka huko Nchinga na Ng'awa Lindi sidhani kama kuna vitu kama kuhug, kutoka..... Mara maeneo Bweri, Tarime.....
 
Mkwanja ndo kila kitu bana!! lazima akupende bila hata kuonyesha ishara.
 
JINSI YA KUMFAHAMU GIRL ANAYEKUPENDA.
Siyo kwamba ishara hizi zote anaweza kuwanazo msichana mmoja,ila kila mmoja kwa ishara zake

Hatua hizi zinaweza zikakusaidia kumgundua msichana anayekupenda,wasichana wanatofautiana ila wengi wao wana-share ishara tofauti.
1.Mnapoongea:
Sikiliza sauti yake,kama anaona aibu sauti yake itakuwa ya upole/laini.
anaweza akaanza kushika shika nywele zake au kuweka sawa mavazi yake.
Hawezi akakuangalia machoni atakuwa anakuangalia kwa kuibia.
Msichana anayekupenda anakuwa na tabasamu unapoongea naye kama amekuzoea,
ila kama hajakuzoea anapokuona gafla tabasamu hutoweka maana anakuwa na aibu.



2.Anapenda hugs na kukushika:

Unapotembea naye mahali anapenda kushika mkono wako,au unapokutana naye
anaweza kuhug.

3.Ajali za kijitakia
anaweza akaona kitu kidogo tu au mdudu halafu anakurukia,au anakukumbatia.
anaweza akatafuta sababu yoyote ilimradi tu akushike,atajitahidi usigundue
mbinu zake kwa kupotezea "Ooh i'm sorry i didn't mean it"


4.Anaibia kukuchunguza:
Unapokuwa umetulia zako unakuta anakuangalia kwa kuibia,ukigeuka anajifanya yuko busy na mambo
yake kumbe anakuchunguza taratibu


5.Wangalie marafiki zake.
Anapokuwa na marafiki zake akikuona anaweza akajitenga,hata kama mmeenda out pamoja na marafiki
zake utakuta yupo karibu na wewe,akiwa na marafiki zake halafu mkakutana gafla atakufuata halafu
waangalie marafiki zake utakuta kama wanateta,ukiona hali hiyo kuna siri yao yeye na marafiki zake
kuhusu wewe


6.Anapenda umjali.
Anapokuwa na tatizo au anajisikia vibaya lazima akuambie,mfano mmeenda mahali kukawa na baridi
hata kama si baridi sana atasema anahisi baridi ili mradi umsaidie koti lako,hata kama kuna watu
hawezi kuona aibu kuvaa badala yake atajisikia vizuri anapovaa koti lako.

7.Hawezi kuzuia tabasamu.
Unapomwonyeshea tabasamu lazima na yeye akuonyeshee,hata kama kuna kitu kimemwudhi
atakuonyeshea tabasamu ili mradi aonyeshe umemkuta katika hali ya furaha.


8.Ishara za mwili.
Anapopita mbele yako anaweza akafanya madoido mengi ambayo yatakuvutia ila kama anajiamini.
kama hajiamini anapokuona gafla anakosa amani,utamwona anashtuka gafla.


9.Anafurahishwa na vituko vyako.
Huwezi ukamboa,hata kama ukifanya kituko ambayo haichekeshi utakuta anafurahia.





10.Anakujali:
Anakuwa anakujali,mfano akiona umeumia labda umejigonga,yupo radhi akuhudumie.
unapokuwa naye anaweza kuuliza..."unahitaji chochote?....unaweza ukasema "nina kiu ngoja ninunue maji"
utamsikia "nina maji,kunywa haya yangu kwanza".basi ujue kwamba anakujali.





NB:Kama hujampenda unaweza ukajiepusha naye hatua za mwanzo ili msiende mbali na kuingia kwenye mahusiano ya kumwumiza hapo baadaye,Wengine wanaweza kufanyiwa hizo ishara zote na wasiweze kugundua,Cha msingi unatakiwa uwe na mda wa kumsoma mpaka pale atakapokuzoea kabisa na akaanza kushindwa kuficha hisia zake,siyo rahisi kwa wanawake wengi kumwambia mwanaume direct kuwa anampenda,baada ya kuona dalili zote unaweza kumtongoza na kumtamkia unampendautakuwa umemrahisishia kazi.










mh, mimi sinaga hizo, napenda kimoyo moyo tu!
 
Back
Top Bottom