Jinsi ya kumkosanisha Rais Samia na Watanzania na kumfanya achukiwe: Tozo za Serikali, Katiba Mpya, Uonevu wa Polisi, Mambo ya Muungano

Jinsi ya kumkosanisha Rais Samia na Watanzania na kumfanya achukiwe: Tozo za Serikali, Katiba Mpya, Uonevu wa Polisi, Mambo ya Muungano

Namba 2 na namb 3 ni upuuzi mtupu. Najua namb 2 inataka kutumiwa na upinzani kama kichaka cha kupiga hela kupitia vikao vya bunge la katiba

Namb 3 hii ishazoeleka kwa wapinzani kuvunja sheria au kujaribu kuhatarisha amani, afu wakidhibitiwa na vyombo vya dola wanakuja huku mitandaoni kulia
Hivi kwa nini tunapoongelea katiba na uonevu wa polisi wewe unaona ni mambo yanayohusu wapinzani peke yake? Kwanza kwa hilo tu unaonyesha wazi huna upeo wa kuona mbali
 

Twende Polepole....

Samia hawezi kuwa mtaalamu wa kila kitu..., Samia ana wasaidizi wake ambao wanatakiwa kumsaidia wakiwemo wabunge..., Hivyo kama Bunge limepitisha imefika kwake ni rahisi na yeye kuipitisha.

Hilo halimkatazi wala halimzuii kubadilisha mawazo kwa kuona kwamba ushauri alioshauriwa na watu wake haukua sahihi..., After all wa kuwasikiliza zaidi ni wananchi amabao theoretically ndio wabunge wanaowawakilisha...

Hivyo basi kubadilisha kwake maamuzi ataonesha ukomavu zaidi kuliko kungangania maamuzi mabovu sababu tu eti yalishafanyika...
 
Unapokuwa kiongozi, hasa wa siasa, unapaswa kuwa makini sana hasa na viongozi ambao watajifanya ni rafiki zako kumbe wanatafuta tu namna ya kukuchonganisha na wananchi. Na hili namwambia wazi Raisi Samia ajihahdari sana. Sifikiri kwamba viongozi wote, na hasa wateule wake, wapo pamoja naye siku zote kama ambavyo wanamfanya aamini.

Wapo viongozi ambao watamwambia Raisi Samia sisi tuko nyuma yako twende tu mama - lakini anapaswa kuwaambia wazi huko nyuma yangu mnafanya nini, njooni tuwe bega kwa bega ili nione mnachofanya.

Kuna mambo ya msingi manne ambayo Raisi Samia anapaswa kuwa nayo makini sana. Haya ni mambo ambayo yatamfanya aungwe mkono au kuchukiwa na wananchi kwa ujumla. Haya mambo ni;
  1. Suala la tozo/kodi za serikali
  2. Suala la Katiba mpya
  3. Suala la uonevu wa Polisi (pamoja na haki za binadamu)
  4. Mambo ya Muungano
Katika haya manne, nakuambia wazi Raisi Ramia, tread with care, la sivyo yanaweza kukuharibia sana rekodi yako ya uongozi wa Tanzania. Usiwe mwepesi kupokea ushauri wa wateule wako juu ya mambo haya manne, wasikilize, na kama ikibidi kupata ushauri ni vema upate ushauri nje ya watu wanaokuzunguka, wasio na maslahi ya moja kwa moja katika uamuzi wako juu ya hayo mambo. Na pia, lolote utakaloamua weka Tanzania na Watanzania first without separating the two. A seemingly good thing for Tanzania might not be a good thing for Tanzanians, and vice versa.

Acha matamko ya harakaharaka juu ya mambo haya, tafakari kwa makini kabla hujaongea lolote kuyahusu. Na sio lazima uende na masimamo wa chama chako katika haya mambo manne. Wapo wanaokuzunguka watakaotaka kukukaanga kwa mafuta yako mwenyewe kupitia haya mambo manne kwa kutumia moto wa chama chako - be warned.

Umesahau swala la loan board kiongozi,Mh Raisi aliwaelekeza loan board wafute value retention fee lakin mpaka dakika hii wameshindwa kutekeleza jambo hilo,sasa hawa loan board wanamchonganisha Mh Raisi na wanufaika
 
Umesahau swala la loan board kiongozi,Mh Raisi aliwaelekeza loan board wafute value retention fee lakin mpaka dakika hii wameshindwa kutekeleza jambo hilo,sasa hawa loan board wanamchonganisha Mh Raisi na wanufaika
Kumchonganisha na wasomi wa nchi hii!
 
UPUUZI MTUPU!!! Havijui vipato vya Watanzania? Mbona Watanzania wengi tu hatuna wasaidizi tulipoona tu hizo kodi tukajua ni UPORAJI wa mchana kweupe? Huhitaji wasaidizi kujua hiyo kodi ni WIZI.

Twende Polepole....

Samia hawezi kuwa mtaalamu wa kila kitu..., Samia ana wasaidizi wake ambao wanatakiwa kumsaidia wakiwemo wabunge..., Hivyo kama Bunge limepitisha imefika kwake ni rahisi na yeye kuipitisha.

Hilo halimkatazi wala halimzuii kubadilisha mawazo kwa kuona kwamba ushauri alioshauriwa na watu wake haukua sahihi..., After all wa kuwasikiliza zaidi ni wananchi amabao theoretically ndio wabunge wanaowawakilisha...

Hivyo basi kubadilisha kwake maamuzi ataonesha ukomavu zaidi kuliko kungangania maamuzi mabovu sababu tu eti yalishafanyika...
 
Twende Polepole....

Samia hawezi kuwa mtaalamu wa kila kitu..., Samia ana wasaidizi wake ambao wanatakiwa kumsaidia wakiwemo wabunge..., Hivyo kama Bunge limepitisha imefika kwake ni rahisi na yeye kuipitisha.

Hilo halimkatazi wala halimzuii kubadilisha mawazo kwa kuona kwamba ushauri alioshauriwa na watu wake haukua sahihi..., After all wa kuwasikiliza zaidi ni wananchi amabao theoretically ndio wabunge wanaowawakilisha...

Hivyo basi kubadilisha kwake maamuzi ataonesha ukomavu zaidi kuliko kungangania maamuzi mabovu sababu tu eti yalishafanyika...
Maria Sarungi ujuaji umemjaa. Rais kukubaliana na matakwa ya watu ndio uongozi wenyewe kwani haongozi kuku wala panya anaongoza watu wenye maoni yenye kubadilika kutokana na mahitaji yao.

JPM alichukiwa kwa misimamo yake isiyoyumba mpaka akaitwa dikteta uchwara leo Samia anakuwa msikivu bado mtanzania analalamika, labda waje malaika waiongoze nchi yetu.
 
Twende Polepole....

Samia hawezi kuwa mtaalamu wa kila kitu..., Samia ana wasaidizi wake ambao wanatakiwa kumsaidia wakiwemo wabunge..., Hivyo kama Bunge limepitisha imefika kwake ni rahisi na yeye kuipitisha.

Hilo halimkatazi wala halimzuii kubadilisha mawazo kwa kuona kwamba ushauri alioshauriwa na watu wake haukua sahihi..., After all wa kuwasikiliza zaidi ni wananchi amabao theoretically ndio wabunge wanaowawakilisha...

Hivyo basi kubadilisha kwake maamuzi ataonesha ukomavu zaidi kuliko kungangania maamuzi mabovu sababu tu eti yalishafanyika...
Acha uongo
Yeye mwenyewe kuna siku alisema Kodi ya sh 100 iliyoongezwa ni ndogo sana, hivyo watu walipe tu.
 
Acha uongo
Yeye mwenyewe kuna siku alisema Kodi ya sh 100 iliyoongezwa ni ndogo sana, hivyo watu walipe tu.
Kodi imeongezwa mia ? na Wapi ?

Tunaongelea Kodi ya Miamala hapa imeongezwa kiasi kwamba watu kuacha kutumia huduma ya miamala sababu option nyingine ni cheaper zaidi)
 
Hivi kwa nini tunapoongelea katiba na uonevu wa polisi wewe unaona ni mambo yanayohusu wapinzani peke yake? Kwanza kwa hilo tu unaonyesha wazi huna upeo wa kuona mbali
Niandikie vifungu vitano tu vya katiba ya sasa na athari zake ambazo ww unaona havifai, ili na mimi niweze kuona hicho kisichofaa kweny katiba ya sasa, maana mmeshazoea kulishwa maneno bila kujua faida na hasara ya kile mnacholishwa. Kuhusu uonevu wa polisi pia kuna sheria za kufuata kabla ya mtu au watu kuandamana au kufanya mkutano wowote wa hadhara. Watu wanapofanya mikutano au kuandamana bila kibali ni lazima wakutane na mkono wa sheria waadhibiwe ili iwe funzo kwa wengine. Hii nchi ina sheria zake na lazima zifatwe na kuheshimiwa.
 
Niandikie vifungu vitano tu vya katiba ya sasa na athari zake ambazo ww unaona havifai, ili na mimi niweze kuona hicho kisichofaa kweny katiba ya sasa, maana mmeshazoea kulishwa maneno bila kujua faida na hasara ya kile mnacholishwa. Kuhusu uonevu wa polisi pia kuna sheria za kufuata kabla ya mtu au watu kuandamana au kufanya mkutano wowote wa hadhara. Watu wanapofanya mikutano au kuandamana bila kibali ni lazima wakutane na mkono wa sheria waadhibiwe ili iwe funzo kwa wengine. Hii nchi ina sheria zake na lazima zifatwe na kuheshimiwa.
Kama unafikiri kwamba watu wanataka Katiba mpya kwa sababu ya sasa haifai basi wewe ni kihiyo hupaswi hata kufungua mdomo wako watu wanapoongelea Katiba.

Watu wanataka Katiba iliyoboreshwa, ikiwezekana kupunguza, kuongeza au kuboresha.

Kumbe kuna watu hamjui kitu ila mnashabikia tu ooh, hatutaki Katiba mpya. Anaelishwa maneno nani sasa kati yetu?
 
Back
Top Bottom