bartazary bon
Member
- May 19, 2011
- 11
- 1
Wana jm napenda mnijulishe jinsi ya kumtambua mtu aliye bakwa ki tabibu,vitu gani vya kuzingatia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Wana jm napenda mnijulishe jinsi ya kumtambua mtu aliye bakwa ki tabibu,vitu gani vya kuzingatia?
Wana jm napenda mnijulishe jinsi ya kumtambua mtu aliye bakwa ki tabibu,vitu gani vya kuzingatia?
Kinachofanyika ni kumwangalia kama anamichubuko yeyote sehemu za siri pamoja na hayo pia kuangalia kama kuna mbegu za kiume sehemu za siri sasa ili kuona kilichondani nafikiri unajua namna ya kuona ndani sina haja ya kuandika hapa maana hata watoto wadogo huingia humu JF!!!!