Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
- Thread starter
- #341
Yaaah umeweza abdulqadirj
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaah umeweza abdulqadirj
kaundimeNimeweza AiseeH.. Raha sana maana nikionaga tu watu wanatagiana humu
kaundimpoapoa best yangu
@ClarkbootsYaaah umeweza abdulqadirj
Umefeli mkuu, rudia tena@Clarkboots
@ephen
Nilikuwa naonyesha kiwa mapenzi yetu ni moto moto zaidi ya Azizi K na Mobetto wake. Mimi sitabebea ng'ombe kwenye Fuso kuleta kwenu. Bali Ng'ombe watapakiwa kwenye Ma VX na Mabus ya CCMHadi leo hii hujui kutag?🤔
Lucas unanifunga sana kamba.Nilikuwa naonyesha kiwa mapenzi yetu ni moto moto zaidi ya Azizi K na Mobetto wake. Mimi sitabebea ng'ombe kwenye Fuso kuleta kwenu. Bali Ng'ombe watapakiwa kwenye Ma VX na Mabus ya CCM
😄😄 Sasa wewe hujiulizi Majina yamejaa humu lakini ni wewe tu ephen wangu unipaye Raha na Nikuwazaye.Lucas unanifunga sana kamba.
Kha!😂 una chembechembe za kisukuma?😄😄 Sasa wewe hujiulizi Majina yamejaa humu lakini ni wewe tu ephen wangu unipaye Raha na Nikuwazaye.
😄😄 Nakupendaaaa Sanaaa ephen wanguuuKha!😂 una chembechembe za kisukuma?
Lete hiyo mahari, jf wale ubwabwa😄😄 Nakupendaaaa Sanaaa ephen wanguuu
ephen wanguu wala usijali maana Watakula kama wanayanga walivyokula Supu pale JangwaniLete hiyo mahari, jf wale ubwabwa
Clark boots nimewezaUmefeli mkuu, rudia tena