Jinsi ya kumtambua/kutofautisha njiwa dume na jike

Jinsi ya kumtambua/kutofautisha njiwa dume na jike

dume ana kichwa kikubwa,
dume anashingo pana na yenye kumeremeta sana,
dume ana kubwa mkubwa
 
Njia tuliyo tumia, una mshika njia vizuri kiganjana then unakamata miguuu usawa wa mapaja yake unakuwa kama unaipeleka ndani,
.
Jike huwa hafanyi kitu, but dume shingo yake huwa kama inajaaa na kutoa sauti flani hivi
 
Njiwa ni ndege wa tofauti kidogo,hata kama utaleta dume leo usitegemee kesho tu kuona wanapandana,kwanza wataanza mahusiano ndipo wapandane.

Kumbuka nilikwambia njiwa huwa wanaishi wawiliwawili.Hivyo lazima kwanza kuwe na maafikiano yakuishi pamoja ndipo hayo yakupandana yatafuta.Njiwa sio kama kuku wao wapo tofauti sana.Kwa kiasi kikubwa njiwa wanashabiliana sana na kanga
Yah,nimeamini maneno yako mkuu njiwa sio kiumbe wa kawaida
 
Njia tuliyo tumia, una mshika njia vizuri kiganjana then unakamata miguuu usawa wa mapaja yake unakuwa kama unaipeleka ndani,
.
Jike huwa hafanyi kitu, but dume shingo yake huwa kama inajaaa na kutoa sauti flani hivi
Njia hii rahisi kidogo ngoja niijaribu
 
Kikubwa ni maumbo dume huwa na umbo kubwa kidogo kumzidi jike.
 
Yah,nimeamini maneno yako mkuu njiwa sio kiumbe wa kawaida
Ndio maana anatumika sana kwenye mambo ya kiroho/shirikina..

yesu wakati anabatizwa alituliwa na njiwa begani,Nuhu wakati wa gharika alimtuma njiwa kuangalia huko nje kukoje,mechi ta mbao na Simba alitua mjiwa uwanjani Ndikumana akaimia ndipo simba wakaanza kurudisha mabao.....
 
Tatizo la njiwa ni kunya kunya hovyo wanachafua sana kuta...
 
Dume ana dushe limetoka kwa nje,jike ana uke ambao hauonekani labda saa ya kukojoa
 
wafanyie operesheni,ukiona korodani ni dume..ukiona uteras ni jike.
 
Pole sana kwa changamoto hiyo, fanya hivi, mchukue njiwa mning'nize juu kwa kumshika mdomoni , mmoja ukimshika hivyo anapigapiga sana mabawa, mwingie anakua mtulivu, enzi zetu za ufugaji tulifanya hivyo!
Nami nimefuga njiwa sana na cha kuongezea zaidi wakati unapowashika midomo na kuwaning'iniza juu huyo anayepiga mabawa ni Dume na jike atatulia tuli katika kuwaning'iniza juu kwa sekunde mbili mpaka tatu utawajua njiwa wako kama ni Dume au ni Jike.
 
Kama nikigundua wote ni madume nikimleta jike mmoja atapandwa?
Kwanza tambua kwamba wote wakiwa ni madume ukimleta jike mmoja utakuwa umeleta vita vikubwa watapambana hao madume watatu mpaka apatikane mshindi mmoja kati yao ndiyo atammiliki yule jike uliyemleta ila tambua wale wawili watahama badala ya kuwa na njiwa wanne utabaki na wawili, bora uwe na njiwa watatu majike na ukatafuta Dume mmoja wote hao hatawapanda na kuwazalisha ila kanunue njiwa peapea yaani jike na dume na utawatambua kwa kuwaning'iniza juu kwa kuwashika midomo kwa sekunde tatu yule atakayepiga mabawa na kunguruma au kutetemeka juwa huyo ni Dume na jike atatulia tuli ndani ya sekunde tatu hizo.
 
Back
Top Bottom