Jinsi ya kumtambua mwanamke bikra kwa kumuangalia tu


Kwa hiyo cutelove ulivyomwangalia tu ukajua ni bikra hadi ukafanya maamuzi ya kumtumia nauli ya kuja mjini??
 
dah huu umenifurahisha ngoja na mi nifanye utafiti juu ya harufu ya machenz
 
Kuanzia sasa, kila binti ntakayekuwa nakutana naye naanza kumnusa kama ananukia harufu ta chenza. Kumbe kutochakata bikra ni kujitakia tu.
 
Mwanamke Bikra anaona kwa macho mawili tu
 
Ulie mwachia 7800 ulivomuona ulimtambua kam bikra
 
Kwaio bikra ikitumika tial siyo bikra tena, so hivyo vitu ulivyotaja ambavyo vipo kwenye mwli wake vitaptea........


Kujua kua mwanamke n bikra au lah n kufanya nae mapenz tuu.


USITUDANGANYE.
 
Hizi sifa unaweza ukakuta hata Mama yako anazo...je na yeye ni b.....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…