kuolewa ni bahati?
Tunaroga sana sisi. Hata km hujui uchawi utaujua tu. Ila kuna cidume havilali vinachungwa na mamazao usiku na mchana.Katika jambo ambalo wanawake hupitia wakati mgumu ni katika kipindi cha kutaka aolewe,maana hana uhakika ni yupi muoaji na yupi muonjaji, poleni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Uncle wangu alitoa mpaka Mahari , ex shangazi ndio akakubali kumpa mzigo . Uncle alipokula tu mzigo siku hiyo hiyo alimpiga chini na mahari hakudai hata mia mbovu. Sasa hivi ameoa mwanamke mwingine kabisa na wamezaa na Watoto. Wanaume hawakadiriwi kirahisi hivyo! Yupo tayari atumie gharama yoyote ili atimize azma yake hasa ya kula papuchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!!Tunaroga sana sisi. Hata km hujui uchawi utaujua tu. Ila kuna cidume havilali vinachungwa na mamazao usiku na mchana.
Halfu wana utambuzi mkali sana. Si kawaida Km una dawa ataikamata mara moja.
Inaonyesha una kauzoefu.Kuna wengine ni pretenders anaweza kukutambulisha had ndugu fake, na mkapanga mikakati na yet akawa tapeli,
Hahaaa experience is the best teacher, na usimwamini mtu aiseeInaonyesha una kauzoefu.
amini ili uishi vizuri. Ukiwa magutu hutafurahia maisha. Utapataje uzoefu? Danganywa ila ufanye kweli utakuwa km digidgi mpaka lini?Hahaaa experience is the best teacher, na usimwamini mtu aisee
Na huwa wanakua na maneno matam matam na kuuteka vyema moyo wa bintiKuna wengine ni pretenders anaweza kukutambulisha had ndugu fake, na mkapanga mikakati na yet akawa tapeli,
Namwamini Mungu baba muumba mbingu na nchi, binadamu haaminiki maana mioyo ni kichaka kizitoamini ili uishi vizuri. Ukiwa magutu hutafurahia maisha. Utapataje uzoefu? Danganywa ila ufanye kweli utakuwa km digidgi mpaka lini?
Akiwa mjanja sana. mroge tu ili ufanikishe marengo ya ki familia atakushukuru.
Wengine walisharogwa kitambo na waliopita yeye anaangalia mabaya tuuu ktk mahusiano ivo namsaidia atsnishukuru
Halafu huharakisha Mambo Sana, ooh nataka nikuoe kumbe ana jambo lakeNa huwa wanakua na maneno matam matam na kuuteka vyema moyo wa binti
Umenena vyema. Mungu wa kweli anaona Mpaka. Vichakani.Namwamini Mungu baba muumba mbingu na nchi, binadamu haaminiki maana mioyo ni kichaka kizito
Uninong'oneze nini tena jamaniUmenena vyema. Mungu wa kweli anaona Mpaka. Vichakani.
Na alisema mke mwema siyo Mme mwema ! hutoka kwake.
na yeye ni mwaminifu. Si kuna mungu wengi tu?
Km asipoangalia kichakani huyo muache njoo niku nikunong'oneze alipo usiogope mie ni mtu.