Jinsi ya kumtambua mwanaume ambaye si muoaji

Jinsi ya kumtambua mwanaume ambaye si muoaji

Ni kweli sisi n waongo,tena wasanii wa hatari,nawashauri dada zangu kuwa kuolewa hyo n haki yenu,tatizo lenu nyinyi mnawaza sana kutaka kuolewa mpaka mnatupa mbinu za kuwagegeda vzur,ndo maana tunawatangazia ndoa feki,mkipendana ktk mahusiano msiwazie ndoa na wala msitulazmishe tuje kujitambulisha makwenu,tulia na msome mwenzio kwanza, maana huwezi kuolewa mpaka jamaa akupitie,hzo mnazotuambia hatufany mpka ndoa bac msubiri muolewe na wachungaji tu

Hizo ulizotaja juu n uongo wa mwanamme ambae hajui kuongopa,anaejua kuongopa huja had kwenu na kishika uchumba anatoa au had pete atakuvalisha na atalia kama yule mgogo(hilo choz utahisi anakupenda kumbe anakuonea huruma tu),baadae humuoni utakaa na pete mpka itaota kutu,mkiingia kwenye mahusiano msikimbilie kutaka kuolewa, tukiamua tutawaoa doooooooh
Baelezee baba mkuru. hata mahari atatoa, shela atanunua tena lile la Nairobi.
Vikao vya harusi. mtakaaa! Kuchangishana. Atakubeba juu juu!

Mtapanga mpaka idadi ya watoto. Subiri sasa aje kanisani kula kiapo. Subiri subiri na weye mipilau mtakula wenyewe. Loool!!!

Mleta mada atakuwa mzee sana au kashinikizwa na mpenzi wake ambae pia anadanganywa.
Kwenye ndoa kuna mambo mengi kijana. Unaweza gundua mwishoni.
Mfano ukoo wa kichawi.magonjwa ya kudumu, ukicheche uliopitiliza uongo nk.
Sasa muoaji aingie tu km mjinga eti sababu alishaanza ataonekana muongo weee? Nani kasema vunja tu. itakunusuru weye.kwanza una bahati.

Unadhani Me atakujuaje?. Bila kukuonja wkt hamja kulia sehemu moja?

Atatumia upelelezi wa kawaida tu.siyo kubeba zigo lililowashinda tingoz. Akalilie huko mbele tena ikibidi me piga ramli kabisa mapema.
 
Baelezee baba mkuru. hata mahari atatoa, shela atanunua tena lile la Nairobi.
Vikao vya harusi. mtakaaa! Kuchangishana. Atakubeba juu juu!

Mtapanga mpaka idadi ya watoto. Subiri sasa aje kanisani kula kiapo. Subiri subiri na weye mipilau mtakula wenyewe. Loool!!!

Mleta mada atakuwa mzee sana au kashinikizwa na mpenzi wake ambae pia anadanganywa.
Kwenye ndoa kuna mambo mengi kijana. Unaweza gundua mwishoni.
Mfano ukoo wa kichawi.magonjwa ya kudumu, ukicheche uliopitiliza uongo nk.
Sasa muoaji aingie tu km mjinga eti sababu alishaanza ataonekana muongo weee? Nani kasema vunja tu. itakunusuru weye.kwanza una bahati.

Unadhani Me atakujuaje?. Bila kukuonja wkt hamja kulia sehemu moja?

Atatumia upelelezi wa kawaida tu.siyo kubeba zigo lililowashinda tingoz. Akalilie huko mbele tena ikibidi me piga ramli kabisa mapema.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Woooote! Ni waongo tu. Me na ke.cha msngi omba sana Mungu akuongoze Hata mwanamke anaweza kuwa tapeli kubwa sana.

mfano mwanamuzki Harlus mabele wa Drc. Aliuguzwa na alizikwa na marafiki zake tu. Limke halina habari nae .japo alikuwa na hela mingi
 
Ndugu wengine hawana namna ya kuwatambua, sababu wenyewe hawajijui kwamba sio waoaji.
 
Wanaume wanaokuja kwa gear ya ndoa ni matapeli hivi mtaoanaje hamjajuana vzuri tabia, hafu bora Ku enjoy mahusiano mkiridhia ndo muoane aisee

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimekupenda bure.! Mwaaaah mwaaaah daah hii komenti imenikonga moyo jamani [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8].
Ila wengi wenu hamtaki ya kukaa kwenye mahusiano ila mnataka kuambiwa nitakuoa na mnakimbilia sana hiyo mishe.

True story!
Kuna kipindi nilitokea kumpenda dada mmoja hivi kiukweli ni mzuri na nikikutana naye JF (kwa ID nyingine ) sasa huyu dada baada ya kuwa tumekutana siku moja tukafahamiana tukawa tunawasiliana mara kwa mara ikafika muda akanizoea nikazoea na mpaka Mzigo nikapiga, Ile siku nimepiga mzigo nilikuwa excited kinyama utafikiri nimeshinda Jackpot [emoji620] ya Milioni mia kwenye Sport pesa.
Nikawa nimenogewa hapo ilikuwa kama mwezi mmoja. Nikaanza kumjali kama mpenzi wangu kihisia na kifedha pia. Sasa yeye akawa amepapenda home kwangu maana nilikuwa nimepanga nyumba ya vyumba vinne so ilikuwa nzuri na nilikuwa nimeamua kuanza kufanya maandalizi ya kuwa na familia. Si manzi akahamia kwangu, akawa anakuja anakaa siku mbili baadae ikawa wiki hatimaye akawa haendi tena kwake. Mi nikazinda si najua mzigo napewa na amani inatawala. Baadae dada huyu akanambia eti oo nyumbani wanataka wakuone, nilishangaaa asee [emoji15][emoji15] nikamwambia mbona mapema sana.
Kusema ni mapema, dada wa watu si akawaka akaanza kunambia oooh unataka kunichezea tu we hunipendi na ndio maana hutaki kwenda kwa wazazi maana yak hutaki kunioa aseee nilinyamaza sikuongea kitu akaongea weee nimenyamaza tu hapo tupo kitandani usiku. Mie nikamwambia Home tutaenda ila sasa hivi ni mapema mnooo. Ujue alianza kubadilika anadai mie sina nia njema naye nataka nimvue chupi tu nikishachoka nimbwage ..! Kusema ukweli sikukubali na alirudi kwake maana kodi ya chumba alichokuwa amepanga ilikuwa bado haijaisha.
Wadada wengi wenu ndio mnapenda kukimbilia ndoa na mnapenda ndoa asikwambie mtu. So nyinyi ndio wengi wenu mbakimbilia kuambizana kuoana
 
Nimekupenda bure.! Mwaaaah mwaaaah daah hii komenti imenikonga moyo jamani [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8].
Ila wengi wenu hamtaki ya kukaa kwenye mahusiano ila mnataka kuambiwa nitakuoa na mnakimbilia sana hiyo mishe.

True story!
Kuna kipindi nilitokea kumpenda dada mmoja hivi kiukweli ni mzuri na nikikutana naye JF (kwa ID nyingine ) sasa huyu dada baada ya kuwa tumekutana siku moja tukafahamiana tukawa tunawasiliana mara kwa mara ikafika muda akanizoea nikazoea na mpaka Mzigo nikapiga, Ile siku nimepiga mzigo nilikuwa excited kinyama utafikiri nimeshinda Jackpot [emoji620] ya Milioni mia kwenye Sport pesa.
Nikawa nimenogewa hapo ilikuwa kama mwezi mmoja. Nikaanza kumjali kama mpenzi wangu kihisia na kifedha pia. Sasa yeye akawa amepapenda home kwangu maana nilikuwa nimepanga nyumba ya vyumba vinne so ilikuwa nzuri na nilikuwa nimeamua kuanza kufanya maandalizi ya kuwa na familia. Si manzi akahamia kwangu, akawa anakuja anakaa siku mbili baadae ikawa wiki hatimaye akawa haendi tena kwake. Mi nikazinda si najua mzigo napewa na amani inatawala. Baadae dada huyu akanambia eti oo nyumbani wanataka wakuone, nilishangaaa asee [emoji15][emoji15] nikamwambia mbona mapema sana.
Kusema ni mapema, dada wa watu si akawaka akaanza kunambia oooh unataka kunichezea tu we hunipendi na ndio maana hutaki kwenda kwa wazazi maana yak hutaki kunioa aseee nilinyamaza sikuongea kitu akaongea weee nimenyamaza tu hapo tupo kitandani usiku. Mie nikamwambia Home tutaenda ila sasa hivi ni mapema mnooo. Ujue alianza kubadilika anadai mie sina nia njema naye nataka nimvue chupi tu nikishachoka nimbwage ..! Kusema ukweli sikukubali na alirudi kwake maana kodi ya chumba alichokuwa amepanga ilikuwa bado haijaisha.
Wadada wengi wenu ndio mnapenda kukimbilia ndoa na mnapenda ndoa asikwambie mtu. So nyinyi ndio wengi wenu mbakimbilia kuambizana kuoana
Watu wengi badala wa date na wa enjoy relationship wao wanakuwa Wana expect kitu flan sasa kule kuwaza kunawafanya wa fake. Sio kila date ita leads kwenye marriage, so most of us women we date kwa kufikiria marriage badala ya ku enjoy mwisho wa siku huwa ni kuumia. So Bora ku date enjoy na kujenga bond ya urafiki hata siku mkiingia kwa marriage mnadumu maana mnaoa best friends.
So huyo gelofriend wako, yeye alikuwa anawaza ndoa kuliko ku enjoy Hadi akajiweka cheap, hivi unahamiaje kwa mwanaume KABLA kwenu hawajakujua Wala kutoa mahari, na kuhamia unaanza kulazimisha mwanaume akajitambulishe, huo ni ucheap Wala. Mie mwenyewe naishi mbali na familia peke yangu Ila kujipeleka kwa mwanaume, lala pika pakua Ili niolewe sijawahi fanya Wala fikiria kabisa, hata yeye kuja kwangu sijui anataka kulala marufuku kubwa, hata kuja mpaka ruhusa yangu, na yeye alikuwa anaharakisha aende kwetu nikampiga kwanza stop let's know each other and enjoy life first, nashukuru alinielewa though msisitizo niende kwenu Hadi huwa tunagombanana ananiona siko serious ni vile yeye hukutana na wanawake wanaojigonga Ili waolewe tu.
N.B wanawake wenzangu maisha ni zaidi ya ndoa fulfil your dream first, don't rush into marriage Ili ku fulfill society's perceptions had mwajigeuza cheap, ukiwa vzuri na umetimiza ndoto yako utapata right partner na wengine huwa wanategesha mimba kabisa Ili ku mtrap mwanaume, matokeo ni kilio tupu. Wangu anavonisumbua sasa Mana nilitaka nimpime uvumilivu wake nashukuru tunaelewana vzuri, sio majority's yetu wanawake tukitajiwa ndoa tunawehuka
 
Watu wengi badala wa date na wa enjoy relationship wao wanakuwa Wana expect kitu flan sasa kule kuwaza kunawafanya wa fake. Sio kila date ita leads kwenye marriage, so most of us women we date kwa kufikiria marriage badala ya ku enjoy mwisho wa siku huwa ni kuumia. So Bora ku date enjoy na kujenga bond ya urafiki hata siku mkiingia kwa marriage mnadumu maana mnaoa best friends.
So huyo gelofriend wako, yeye alikuwa anawaza ndoa kuliko ku enjoy Hadi akajiweka cheap, hivi unahamiaje kwa mwanaume KABLA kwenu hawajakujua Wala kutoa mahari, na kuhamia unaanza kulazimisha mwanaume akajitambulishe, huo ni ucheap Wala. Mie mwenyewe naishi mbali na familia peke yangu Ila kujipeleka kwa mwanaume, lala pika pakua Ili niolewe sijawahi fanya Wala fikiria kabisa, hata yeye kuja kwangu sijui anataka kulala marufuku kubwa, hata kuja mpaka ruhusa yangu, na yeye alikuwa anaharakisha aende kwetu nikampiga kwanza stop let's know each other and enjoy life first, nashukuru alinielewa though msisitizo niende kwenu Hadi huwa tunagombanana ananiona siko serious ni vile yeye hukutana na wanawake wanaojigonga Ili waolewe tu.
N.B wanawake wenzangu maisha ni zaidi ya ndoa fulfil your dream first, don't rush into marriage Ili ku fulfill society's perceptions had mwajigeuza cheap, ukiwa vzuri na umetimiza ndoto yako utapata right partner na wengine huwa wanategesha mimba kabisa Ili ku mtrap mwanaume, matokeo ni kilio tupu. Wangu anavonisumbua sasa Mana nilitaka nimpime uvumilivu wake nashukuru tunaelewana vzuri, sio majority's yetu wanawake tukitajiwa ndoa tunawehuka

Hilo la kutegeshewa mimba nimewahi tegwa ni mimba ikaingia na nikachomoa kumuoa. [emoji41][emoji41][emoji41]
 
Hilo la kutegeshewa mimba nimewahi tegwa ni mimba ikaingia na nikachomoa kumuoa. [emoji41][emoji41][emoji41]
Umeona sasa mtu tu asiyejua siku zake na kitegemea mimba kisa ndoa hajielewi na hajali Future ya malezi ya wanawe. Wanawake tungejielewa matatizo mengi yangepungua hasa tungeweza kujitegemea na kujisimamia
 
Umeona sasa mtu tu asiyejua siku zake na kitegemea mimba kisa ndoa hajielewi na hajali Future ya malezi ya wanawe. Wanawake tungejielewa matatizo mengi yangepungua hasa tungeweza kujitegemea na kujisimamia

Mkuu wewe ni level zingine kwenye kufikiria.! Ungejua muda huu anavyonilazimisha kufanya vitu ambavyo siwezi fanya maana nilimchukia sana kuniingiza kwenye gharama ambazo sikuwa nimepanga.! Inshort, napenda watoto ila sio kwa kushitukizana .!

giphy.gif
 
Mkuu wewe ni level zingine kwenye kufikiria.! Ungejua muda huu anavyonilazimisha kufanya vitu ambavyo siwezi fanya maana nilimchukia sana kuniingiza kwenye gharama ambazo sikuwa nimepanga.! Inshort, napenda watoto ila sio kwa kushitukizana .!

giphy.gif
Uelewa ni janga kubwa Sana sasa unazaaje mtoto bila kukubaliana, na shida wanawake wakiona mwanaume Yuko vzuri ana kivitz na hela ya mboga anatega mimba kabisa, mwisho hamuoani na wewe mwanamke huko utakapoolewa mtoto atateseka. Bora tuwe makini aisee
 
Uelewa ni janga kubwa Sana sasa unazaaje mtoto bila kukubaliana, na shida wanawake wakiona mwanaume Yuko vzuri ana kivitz na hela ya mboga anatega mimba kabisa, mwisho hamuoani na wewe mwanamke huko utakapoolewa mtoto atateseka. Bora tuwe makini aisee

Sana Mkuu
 
Sweet-couple-in-love-wallpaper-1-1024x768.jpg



ULIMWENGU wa sasa umejaa sanaa. Watu wameingiza sanaa kwenye kila eneo. Sanaa ipo hadi kwenye masuala ya uhusiano. Mtu anamfuata binti, anaingia na gia kabisa za kuoa kumbe siyo muoaji. Anakuwa na kitu anachokitaka, akikipata basi biashara imekwisha. Matokeo yake wanawake wamekuwa waoga. Wapo ambao wamekata tamaa kabisa, hawataki kusikia kitu kinachoitwa ndoa maana kila walipojaribu kutupa karata wamejikuta wakiambulia maumivu. Hivyo wanaona bora kuishi kivyaovyao tu.

Mapenzi ni hisia, mtu anapowekeza hisia zake halafu akiambulia maumivu huwa inamkatisha sana tamaa. Anakuwa ameamini kwamba huyu ni mpenzi wangu, amemuweka moyoni halafu anakuja kuambulia maumivu, inauma. Wanawake wamekuwa wakiwaona wanaume wengi wa siku hizi ni waongo, wahuni na watu ambao mwalimu wao ni mmoja. Wanajua hata mtu aje vipi, bado atakuwa ni walewale ambao wanaleta sanaa zao awali halafu mwishoni wanapotea.

Kwa kuzingatia hilo, nimeona ni vyema leo tukaangalia baadhi ya ishara ambazo ukiziona kwa mwanaume wako ujue kabisa huyo si muoaji bali ni mzugaji au tapeli tu wa mapenzi. Yupo kwako kwa ajili ya maslahi fulani na baada ya muda atakuacha.

Ukiona mtu ambaye yupo kwako halafu hana muda na wewe zaidi ya kukuhitaji tu kwa ajili ya kujiburudisha, huyo anza kumtilia shaka. Tena kama mtu huyo anafanya hivyo kwa muda mrefu, jua kabisa ana kusudi lake binafsi na si pendo kwako.

Anakuwa hana habari na wewe zaidi ya kukuulizia pale anapohitaji jambo fulani, hana muda wa kujua umeshindaje, sijui unaishi vipi au pengine una tatizo gani mtu wa aina hiyo jua ni mzugaji. Ishi naye kwa tahadhari na ukiona anaendelea na maisha hayo, muepuke haraka.

Ukimuona mwanaume anakuwa muongomuongo, hana kauli moja katika maisha yenu hiyo pia ni dalili mbaya. Mwanaume ambaye ana nia thabiti ya kuwa na wewe, hawezi kuwa mjanjamjanja. Kama ni sanaa hizo atazifanya kwa watu wengine lakini si kwako.

gI9SPE-2.jpg


Mwanaume ambaye anakufunga ‘kamba’ za waziwazi hata wewe mpenzi wake, unapaswa kuwa naye makini. Aina hiyo ya wanaume ni wale ambao wanakuwa na wewe kwa maslahi fulani. Yawezekana akawa anakuganda sababu ya pesa au maslahi mengine binafsi. Mwanaume ambaye sio muoaji atajifanya ni mpenzi wako lakini pia hapendi umjue sana. Hahitaji uingie kwenye maisha yake kiundani, mnakutana tu barabarani au hotelini biashara imeishia hapo. Hataki kukutambulisha kwa ndugu au hata marafiki. Ukimuona yupo hivyo, anza kuwa naye makini.

Wanaume matapeli mara nyingi huwa wanakuwa hawapendi sana kuzungumza mipango endelevu na watu wao. Mwanamke anapoanzisha tu habari hizo, anaruka fasta na kuchomekea mada nyingine. Hayupo tayari, hawezi kukuvumilia uanze kuzungumza habari za sijui kuwa na familia, kuwa na watoto na mambo mengine kama hayo.

Anataka mzungumzie zaidi viwanja vya starehe, kula raha na kumaliza mahitaji yake ya kimwili. Baada ya hapo, hana mpango tena na wewe. Atakutafuta pale atakapokuhitaji. Unapaswa kuwa makini na watu wa aina hii. Mwanaume anapokufuata, mchunguze taratibu kabla ya kuruhusu moyo wako uzame katika himaya ya penzi lake.

Ukiona haelekei na pengine ana tabia kama nilizoziainisha hapo juu basi chukua hatua haraka za kumuepuka.
wanawake wengine unakuta kijana nia kweli ya kuoa ipo analipa lkn sasa kijana wa kiume ameenda kuulizia mizimu ya kwao. Kabla ya kuketi chini ina mwambia yule binti

atakuliza mbeleni
ni mchumia tumbo
hata kaa akuheshimu na
ni moto wa kuotea mbali.
Atakimbia na watoto.

Sasa hapo kijana wa watu afanye nini?
Ni kukuacha tu kwa akili.
Ukiona amekwambia mizimu imekataa muheshimu sana.Au
Omba akusaidie safarini ili utafute mpya.
tatizo llenu wote mna dini fake za kizungu hamuelewi mizimu
 
Haya kidume amekufungulia biashara ufanye ili uende shule. Unakula mpaka mtaji haya amesamehe amekupa tena ruzuku bado unafikisika. Haya kaa basi nyumbani ule tu. Huyoo unaenda uza bar. Unarudi sasa umletee ukumwi?akuangalie tu!!!1
 
Nimekupenda bure.! Mwaaaah mwaaaah daah hii komenti imenikonga moyo jamani [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8].
Ila wengi wenu hamtaki ya kukaa kwenye mahusiano ila mnataka kuambiwa nitakuoa na mnakimbilia sana hiyo mishe.

True story!
Kuna kipindi nilitokea kumpenda dada mmoja hivi kiukweli ni mzuri na nikikutana naye JF (kwa ID nyingine ) sasa huyu dada baada ya kuwa tumekutana siku moja tukafahamiana tukawa tunawasiliana mara kwa mara ikafika muda akanizoea nikazoea na mpaka Mzigo nikapiga, Ile siku nimepiga mzigo nilikuwa excited kinyama utafikiri nimeshinda Jackpot [emoji620] ya Milioni mia kwenye Sport pesa.
Nikawa nimenogewa hapo ilikuwa kama mwezi mmoja. Nikaanza kumjali kama mpenzi wangu kihisia na kifedha pia. Sasa yeye akawa amepapenda home kwangu maana nilikuwa nimepanga nyumba ya vyumba vinne so ilikuwa nzuri na nilikuwa nimeamua kuanza kufanya maandalizi ya kuwa na familia. Si manzi akahamia kwangu, akawa anakuja anakaa siku mbili baadae ikawa wiki hatimaye akawa haendi tena kwake. Mi nikazinda si najua mzigo napewa na amani inatawala. Baadae dada huyu akanambia eti oo nyumbani wanataka wakuone, nilishangaaa asee [emoji15][emoji15] nikamwambia mbona mapema sana.
Kusema ni mapema, dada wa watu si akawaka akaanza kunambia oooh unataka kunichezea tu we hunipendi na ndio maana hutaki kwenda kwa wazazi maana yak hutaki kunioa aseee nilinyamaza sikuongea kitu akaongea weee nimenyamaza tu hapo tupo kitandani usiku. Mie nikamwambia Home tutaenda ila sasa hivi ni mapema mnooo. Ujue alianza kubadilika anadai mie sina nia njema naye nataka nimvue chupi tu nikishachoka nimbwage ..! Kusema ukweli sikukubali na alirudi kwake maana kodi ya chumba alichokuwa amepanga ilikuwa bado haijaisha.
Wadada wengi wenu ndio mnapenda kukimbilia ndoa na mnapenda ndoa asikwambie mtu. So nyinyi ndio wengi wenu mbakimbilia kuambizana kuoana
Ilikuwaje sasa
Mlikuja kuoana
Story nzuri imeishia kati
 
Back
Top Bottom