Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,619
sasa kuna raha gani unafanya huku unajua unatumia viagra,kama huwezi ni huwezi tuUtapumua wapi Smile wangu wakati Viagra ipo? Jamaa akikunywea hii haki ya nani utakuwa unaimba tu haleluya, toba, yala, salam aleikum, yaani ni tararira ile kubwa. Ha ha ha!! Ila bwana bora uimbe taarabu zote kuliko ukutane na kamba aise!! Yaani imagine uko on kama furnace halafu jamaa kabisa dorooooooo!!