Jinsi ya kumtibu mpenzi anae kupa bao moja nawe ujaridhika<

Jinsi ya kumtibu mpenzi anae kupa bao moja nawe ujaridhika<

Utapumua wapi Smile wangu wakati Viagra ipo? Jamaa akikunywea hii haki ya nani utakuwa unaimba tu haleluya, toba, yala, salam aleikum, yaani ni tararira ile kubwa. Ha ha ha!! Ila bwana bora uimbe taarabu zote kuliko ukutane na kamba aise!! Yaani imagine uko on kama furnace halafu jamaa kabisa dorooooooo!!
sasa kuna raha gani unafanya huku unajua unatumia viagra,kama huwezi ni huwezi tu
 
sasa kuna raha gani unafanya huku unajua unatumia viagra,kama huwezi ni huwezi tu

Aise Smile heshima katika nyumba ni ile kitu aise!!! Ndiyo maana siku hizi kila bango la sangoma ili lipate mashiko ni lazima aiweke dawa ya kuleta heshima kwanza kabisa!!!
 
Nunua tikitimaji moja na ndimu mbili, kata tikitimaji lako nusu limenye toa nyama ya kati na mbegu zake weka kwenye sufuria kamulia na ndimu zote mbili tia maji kidogo weka jikoni ichemke kidogo mtilie yale maji na zile mbegu za tikiti mpe anywe kama juisi alafu muanze mambo yenu utaona jinsi inavyo fanya kazi kama ulizoea moja utapata mawili.
me naomba mechi nawewe
 
Back
Top Bottom