sasa kuna raha gani unafanya huku unajua unatumia viagra,kama huwezi ni huwezi tuUtapumua wapi Smile wangu wakati Viagra ipo? Jamaa akikunywea hii haki ya nani utakuwa unaimba tu haleluya, toba, yala, salam aleikum, yaani ni tararira ile kubwa. Ha ha ha!! Ila bwana bora uimbe taarabu zote kuliko ukutane na kamba aise!! Yaani imagine uko on kama furnace halafu jamaa kabisa dorooooooo!!
teh teh kwani anakufanya usoni?Ova dose yake ni balaa unasuguliwa mpaka mashavu yanavimba,teh
sasa kuna raha gani unafanya huku unajua unatumia viagra,kama huwezi ni huwezi tu
Samahani mm bila bao kumi sijaridhika nifanyaje? Ili nipunguzeKwa wale wasiokwazika kiimani,kitimoto tu ni dawa tosha nyie wenyewe mtaifurahia
Samahani mm bila bao kumi sijaridhika nifanyaje? Ili nipunguze
Halafu mkiwashwa nani atawakuna? haya we jidai huna shda ya maji huku unaishi dar.acha ziwaishe kabisa tupumue wanawake tupumue!
me naomba mechi naweweNunua tikitimaji moja na ndimu mbili, kata tikitimaji lako nusu limenye toa nyama ya kati na mbegu zake weka kwenye sufuria kamulia na ndimu zote mbili tia maji kidogo weka jikoni ichemke kidogo mtilie yale maji na zile mbegu za tikiti mpe anywe kama juisi alafu muanze mambo yenu utaona jinsi inavyo fanya kazi kama ulizoea moja utapata mawili.