Jinsi ya kumtunza :"" pdidy""

Pdidy hapo umegonga!, Mara nyingi wanao poteza sana ni WADADA, kwani hasara huwa nyingi kwao;

1. Msichana hushusha hadhi yake kama TRIAL hio haita pitishwa(Cancelled).

2. Mwanamke huwachiwa majukumu ya kulea, jamaa akijitoa.

3. Mwanamke hana haki, iwapo jamaa ataaga dunia wakiwa pamoja.

4. ............etc
 
kiukwel cku hz wa2 wanabebana tu wakichokana wanamwagana. Ndo mana wagonjwa wa moyo wengi vdonda vya 2mbo etc. Hii yote ni kujfanya 2najua zaidi kumbe ndo tunapotea ile mbaya . MMOMONYOKO WA MAADILI ndo sababu ya haya yote. Mtu aliyelelewa akaleleka vizuri wll never do such a thgn!
 
Unatema Big g kwa karanga za kupnjeshwa?
Usifanye mchezo na ndoa.
 
kwanza Elimu siyo kigezo cha kutafuta mchumba unless ukiwa materialist nasema hivi kwa sababu
1. wapo wenye elimu za vyou vikuu lakini (hawana elimu ya maisha) hawawezi kutunza familia zao ( hadi malecturer wa vyuo wamo tena wenye PHD). Kazi yao kulewa pombe, kuchuka vyangu doa, wanawapiga wake zao, hawana muda wa kukaa na familia zao na hata wengine kulipa ada ya mtoto wake ni tatizo. Hujaona watoto wa watu wenye madigirii wanakua wapiga debe? Sasa`kama mwanamke unafuata kigezo cha mume ni elimu basi uwe makini ( mmmh! kwa hiyo hata kama hujampenda kisa dr. unamkubali?) du!!! hii kali
2. wapo wasio na elimu ya darasani ila wana elimu ya maisha (wanaongea kwa mantiki na busara na wanafanya mambo yao kimikakati)
3. Na wapo wasio na elimu ya darasani na ya maisha, sasa hawa ndiyo kila mwanamke anatakiwa kuwa nao chonjo wakati wa uchumba, kawa bwana mara nyingi hawaelewi maisha na vigumu kubadilika kabisaaa!
Cha msingi nadhani ni upendo uanze halafu hayo mengine yanafuata.

Ni kweli kuishi na mwanamke aliyekuzidi elimu ni ngumu sana kwa sababu ya hulka zao. Mara nyingi mwanamke hupenda kumsifia mume wake kwa wenzake, sasa kama kidato hakijapanda ndugu yangu na huna mavumba ya kutosha, hapo huna ujanja. Utapigwa chini coz hurembeki kwa mwanawake wenzake. Nafikri pia wanawake wanathamini sana wenzao wanawaonaje kuliko wao wanavyojiona na hapo ndiyo tatizo linaanza. Wengi wao wanataka kuwa matawi ya juu kila wakati bwana!
 
Tatizo kitufe cha thanks, hakipo.! Lakini Imetulia, nimeipenda 😛lane:
 
mwenzangu akiiona article hii nimekwisha. Atanibingirisha, ataniinamisha, atanibong'olesha, atanichumisha mchicha, ataniua kifo cha mende na kunikomoa kwa kila hali.
Bora tu asiione.
 
Ukinunua gari bila kuendesha utamlaumu nani
 

Kwa mtizamo wa maandishi tu inaonekana uko upande wa jinsia moja katika kutoa mada yako hii, ushauri wangu ni kwamba ebu chunguza ndoa ngapi zinafungwa asubuhi na kuvunjika jioni, na kama ndoa inaleta security ebu tuangalie nyumba ndogo za kike nakiume ni ngapi siku hizi je ni kweli wanaokuwa na hizo nyumba ndogo ni wale tu waliochukuana na kuishi bila ndoa au ni wale waliofunga ndoa na kushindwa kuishi viapo vyao?

Nionavyo mimi kuishi pamoja ni maelewano bila external commitments kama vile ndoa watoto, mali nk inatakiwa muwe willing kuishi pamoja na ndio mtaheshimiana na kuongea lugha moja na kunia pamoja, vinginevyo kuachana au kubwagana kama mtoa mada anavyosema kupo popote kwa wanandoa na wasio na ndoa ali mradi hamjaendana kitabia na mtizamo
 

Mkuu ukiangalia ratio ya wenye elimu na maisha ya hovyo na wasio na elimu na maisha mazuri! I will go for the educated one. Why risk
 
mwenzangu akiiona article hii nimekwisha. Atanibingirisha, ataniinamisha, atanibong'olesha, atanichumisha mchicha, ataniua kifo cha mende na kunikomoa kwa kila hali.
Bora tu asiione.

Zote hizo mamboyako super siye wengine missionary position kwishakazi
 
like it or not, ndoa hudumu zaidi na hupendeza zaidi ikiwa hamjawah kuishi kama mke/mume.
 
Ngoja nimeitwa na jirani haka kamchezo kamezidi nimekiona sasa
 
Mkuu ukiangalia ratio ya wenye elimu na maisha ya hovyo na wasio na elimu na maisha mazuri! I will go for the educated one. Why risk

always wajisiramali ni risk taker
 
njoo nikufunze kumtuliza mume, hata akienda huko asimtamani jirani yako. Paka akishiba huwaacha panya wapite. Mshibishe mumeo.
 
mwenzangu akiiona article hii nimekwisha. Atanibingirisha, ataniinamisha, atanibong'olesha, atanichumisha mchicha, ataniua kifo cha mende na kunikomoa kwa kila hali.
Bora tu asiione.

We weeeeee! ngoja ni m-pm aione!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…