Jinsi ya kumvuta Mwanamke bila hata kutumia shilingi

Wewe kurusha mikono kote huko, Mara uiweke kifuani, Mara uitawanye na muda woote huo wa kujisifia na kumsifia unahisi sio gharama? Bora umwage dolali ule papuchi chapu!!
 
Weee hata km nikisema nikupe Lekcha, kwa ulivyo na misimamo yako , utaishia kunipiga piga na mito

Imeishaaaa iyoooo
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…sio kwamba misimamo naionyesha kwako tu.

Wewe si umetoa mbinu tutafunwe kiurahisi kwa staili hiyo misimamo itaendelea kuwepo kweli..

Na ndo ukute jamaa mwenye mkali๐Ÿ˜๐Ÿ˜

#babaimeishahiyo#
 
Wewe kurusha mikono kote huko, Mara uiweke kifuani, Mara uitawanye na muda woote huo wa kujisifia na kumsifia unahisi sio gharama? Bora umwage dolali ule papuchi chapu!!
Hii ina faida incas umekutana na demu ambaye amekuzidi uchumi alafu kichwani yuko vzur
 
[emoji28][emoji28][emoji28]sio kwamba misimamo naionyesha kwako tu.

Wewe si umetoa mbinu tutafunwe kiurahisi kwa staili hiyo misimamo itaendelea kuwepo kweli..

Na ndo ukute jamaa mwenye mkali[emoji16][emoji16]

#babaimeishahiyo#
Lkn mama, wee una faida kwa kusikia, sababu unakua unaelewa mbinuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ