Jinsi ya kumvuta Mwanamke bila hata kutumia shilingi

Hii ina faida incas umekutana na demu ambaye amekuzidi uchumi alafu kichwani yuko vzur
Iwe nimekuzidi uchumi au akili au sina vyote kati ya hivyo kaka sijaruhusu moyo wangu kukuelewa😅😅baba vyasi lazima uchonge so usikariri
 
Iwe nimekuzidi uchumi au akili au sina vyote kati ya hivyo kaka sijaruhusu moyo wangu kukuelewa[emoji28][emoji28]baba vyasi lazima uchonge so usikariri
Hahahaha aya Mama, nawee unavyoniongezea maujuzi sasa hahaha
 
Kama pesa huna ni bure tu mkuu..
 
Kaka@Carlos The Jackal inabidi utuandalie na sisi wanawake tunao wataka wanaume tunao waelewa na hatuna hyo macomfidence [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hilo ni somo jingine hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…