Jinsi ya kumvuta Mwanamke bila hata kutumia shilingi

Kwa unavyowaza hata nikikujibu najichosha tu

Basi endelea na mipango ya kula wake za watu wasiojitambua
Hahaha let me tell you one thing, ukifaulu kumu enslave mwanamke emotionally

Hata awe na mawazo kama yako hapa , Utamla tu nakumfanya unavyotaka.

Nakupa mfano,

Umeolewa ?? Kama umeolewa embu kua wazi, huyo alokuoa ndio alikutoa uschana wako and umedate na wanaume wangapi mpaka Ukaolewa ???.


Basi ikiwa hayo yalitokea, amini amini nakuambia, Uwezekano wa wewe kuliwa ni 100%.

Embu fikria, Mwanamke ameolewa na mwanaume alomtoa uschana wake, yaan yeye kwenye mahusiano ana uzoefu wa mwanaume mmoja tu ,hana habar za kumlinganisha...

Lkn naye analiwa !!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Uwiiiii unanichekesha sanaaa... Kwa sababu jamaa yako hajakamilika, na kwahakika kuna ombwe... Ilo ilo ombwe, linatosha weee kuliwa mbali na misimamo yako hii
 
Kupata kichekesho kingine kama hiki bonyeza nyoata.[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Wanaume tukumbushane hivi vitu 8 havitakufanya uwe mwanaume kamili

1.kutembea na wake za watu
2.kutembea na wanfunzi
3.kutembea na mwanamke wa rafiki yako
4.kumgeuza mwaanmke:kinyume na maumbile
5.kutembea na ndugu zako
6 kulala na mwanamke umri km wa mama yako
7 kulala na kila mwanamke anayekuchekea
8 kulala na mdg wa mke wako au ndugu zake

Hata ukifanya hivyo hapo juu haitakupunguzia ugumu wa maisha wala kukufanya uwe mjanja zaidi ya wenzako..

Kuna vitu ukifanya wanaume wenzako tutasema hata kimoyomoyo huyu mwamba ni mjanja

Stop being insecure,tafuta maisha,tafuta purpose kwenye maisha yako.
 
Swali ni je... Umeoa, na je Hupigi demu nje ya mkeo??


Ongezea hili


Mwanaume kamili, anatulia na mke wake.


Ila kama unapiga nje, yaan ilo sio ombi ni lazima nayeye atapigwa


Ngoja kuna siku nitawawekea uzi nikwann ukiona Unaanza kuchepuka, mkeo lazima apigwe !!!


Ni Sheria hiyo ni nature ya Ulimwengu wa Roho .
 
ata mke wako atachukuliwa kwa style iyooo
 
Sawah ila usisahau kikopo cha wese hakikisha unakuwa nacho mfukoni , kuepusha madhara
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]eehh mkuu , sasa mambo ya wese namm wapi nawapi

Hapa tunachangamsha genge tuu

Kuna mkuu huko juu, yeye kanialaan kabisa...

Nikagundua ni moja ya mpigaji wa madem wa wengine lkn kwake ataki aguswe
 
Nawewe jiandae kisaikolojia kurusha hiyo mikono yako kifuani wakati ukiwa umevishwa shanga kutatuliwa marinda, what goes around comes around
 
Mkuu vipi mbona hujawaeleza na mbinu nyingine ya kubeba mafuta wakishafumaniwa.
 
Aiseee. Katika zama hizi ambazo wanawake duniani ni wengi kuliko wanaume unaelekeza namna ya kuwatongoza wake za watu? Shubamiti,Mungu akulaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…