Jinsi ya kununua hisa NMB au CRDB

Jinsi ya kununua hisa NMB au CRDB

Gotze Giyani

Senior Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
127
Reaction score
194
Wadau poleni na majukumu nilikuwa naomba kuuliza jinsi ya kunua hisa za NMB au CRDB ni mpaka uwende DSE.

Kingine je faida za hizo hisa zake kwa aliyejiunga zikoje naomba mwenye uzoefu tafazali maana napenda sana uwekezaji nimevutiwa na platform mbali mbali nilizokuwa napitia nimeziona pia zikimzungumzia Warent Buffet na watanzania wengine waliofanikiwa kwenye uwekezaji wa hisa japo najua wachangiaji watakuwa wachache ila naomba wawe wachache wenye faida.
 
Wadau poleni na majukumu nilikuwa naomba kuuliza jinsi ya kunua hisa za NMB au CRDB ni mpaka uwende DSE .Kingine je faida za hizo hisa zake kwa aliyejiunga zikoje naomba mwenye uzoefu tafazali maana napenda sana uwekezaji nimevutiwa na platform mbali mbali nilizokuwa napitia nimeziona pia zikimzungumzia Warent Buffet na watanzania wengine waliofanikiwa kwenye uwekezaji wa hisa japo najua wachangiaji watakuwa wachache ila naomba wawe wachache wenye faida.
Weka pesa yako UTT huko kwenye hisa za mabenki inaweza potea
 
Back
Top Bottom